Upo sahihi lakini nafasi aliyopo shaka wapo ambao walipita na hawakufanya anayo yafanya hiyo inadhihirisha uwezo wake lakini ukisikiliza hotuba zake jamaa anajua kujenga hoja sio kusifia tyuu maboss wake
Ni dhahiri kuwa vijana wa sasa wapo smart sana na siasa na wapo tayari kulitumikia taifa hofu yangu ni mikoba tyuu wanayo rithishwa kuibeba wanatakiwa kuibadilishaaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.