Recent content by Hamahama

  1. Hamahama

    Waziri Makamba: Iwe Mjini au Kijijini Gharama wanayatumia Tanesco kumuingizia mtu umeme ni Tsh 800,000

    Licha ya mabaya ya ngosha ila alikuwa na mazuri mengi tu, moja kubwa ni suala la umeme, elfu 27 was real ila wenzangu na mimi mnaounga umeme sasa hivi kazi mnayo
  2. Hamahama

    Waziri Makamba: Iwe Mjini au Kijijini Gharama wanayatumia Tanesco kumuingizia mtu umeme ni Tsh 800,000

    Ndio wanataka uende huko kwenye solar, ndio biashara zao hao watu wa kulamba asali, watanzania kazi tunayo mpaka 2025 tutakuwa tumeyonywa mpaka damu
  3. Hamahama

    Mwambieni Kinana wanauza mazao nje ya nchi si wakulima ,ni wafanyabiashara

    Tatizo si kulama na demand, tatizo ni ukame hata walio lima hawajazalisha vya kutosha na pia hatuwezi kulima wote, so serikali iangalie wananchi wakikosa chakula hakuna kitakachoendelea, kazi itakuwa ni kutafuta namna ya kuwalisha, hayo mabarabara hata sijui reli na hayo mamiradi mengine ya...
  4. Hamahama

    Tanzania ndio nchi yenye mzigo mdogo wa deni Afrika Mashariki kwa sasa

    Ashukuriwe mzalendo wa kweli Magufuli
  5. Hamahama

    Asante Rais Samia, Ila ongezeko la Mishahara haliakisi unafuu wa maisha kwa Mtanzania kama ambavyo huwa inadhaniwa na wengi

    Mama hongera sana kwa kuwakumbuka wafanyakazi, bora kidogo kuliko kukosa kabisa. Umeupiga mwingi kwakweli
  6. Hamahama

    Sheikh apinga Urais kwa mwanamke

    Wanawake wanafaa sana katika uongozi lakn si katika ngazi ya juu kabisa ya uongozi wa nchi kama urais, ni nchi chache sana duniani zimethubutu kuongozwa na wanawake na matokeo wameyaona
Back
Top Bottom