Binafsi huwa najuta Sana kuwa Mtumishi wa Manispaa hii bad enough nina dogo Geita aliajiriwa 2015 Niko nae daraja moja F digrii kwa digrii! Ajira 2012 na yeye 2015 halafu utake mtu afanye kazi kwa moyo bila maslahi yake kuzingatiwa
Hawa jamaa wanatutesa Sana hadi mtu unaona kazi kama ni utumwa just imagine mtu umeajiriwa 2012 upo daraja F Sawa na ajira ya 2015 kisa mapungufu Yao kuwa mateso kwa watumishi wengine. Intake ya 2012 Kigoma Manispaa hamtufanyii fair kabisa
Mtaendelea kupigwa tuu mana hamnazo mnabebesha zigo kubwa afu mnahaha na saved contacts kila mtu mnamtumia ujumbe. Juzi kati wamepga simu na matext kibao eti nmemdhamin mtu X na simfaham ila majibu walipata
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.