Recent content by Haludzedzele

  1. H

    Kuna haja kwa mamlaka husika kuangalia upya mikopo ya mitandaoni

    Mtaendelea kupigwa tuu mana hamnazo mnabebesha zigo kubwa afu mnahaha na saved contacts kila mtu mnamtumia ujumbe. Juzi kati wamepga simu na matext kibao eti nmemdhamin mtu X na simfaham ila majibu walipata
  2. H

    Kuna haja kwa mamlaka husika kuangalia upya mikopo ya mitandaoni

    Sasa saved contact zake znahuckaje hapo kwann msitumie alzowapa za wadhamin wake
  3. H

    Bukoba: Mwalimu atakiwa kurejesha Mshahara aliolipwa kwa kufanya Udanganyifu kwa Mwajiri

    Pole yake Mwalimu ni vile tuu kada yenyewe ina ikiritimba mwingi kwenye utoaji wa ruhusa ndio maana watu wanajiongeza kiaina! Ni mapito tu
  4. H

    Katibu mkuu CWT agoma kurudi Temeke kufundisha

    Pay ya Maticha imewapa kiburi sana! CWT ni dude fulani dhulmati viongozi wake hujiona kama miungu
  5. H

    KATAVI: Walimu Zaidi ya 200 Waandamana ofisi za CCM kudai Haki yao ya kupandishwa madaraja

    Dhulma ni kubwa sana kwenye hii kada sijui huwa wanawaonaje Walimu. Intake ya 2012 Kigoma Manispaa walipanda 2019 kwa mara ya kwanza wakat wenzao sehemu nyingine walipanda 2016/17 lakin watu wapo na wanadai wanafanya kazi. Msoto ni mkali kwa hii kada
  6. H

    RC Mbeya asitisha Posho kwa Watumishi wote wa Halmashauri

    Sema miungu watu kila mtu kwa nafasi yake hata hao Walimu wakuu nao ni wakuda kwenye usimamizi wa hizo fedha
  7. H

    Waziri Mkuu amsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Uvinza na Mwekahazina wa Halmashauri

    Kigoma wanaishi Kwa mazoea sana hata Manispaa ni balaa tupu utendaji wao ni utatanishi sana
  8. H

    Tetesi: Wapo wapi Lema na Sugu?

    Utashi binafsi au wakuazima?
  9. H

    Walimu kupinga kauli za Udhalilishaji na ubaguzi kutoka kwa CHADEMA dhidi yao

    Hii akili sio mwalimu hii, Fanya yako Acha maticha wapambanie masirahi Yao na kumtokomeza adui Yao # 1 CWT. Hizo mbwembwe zako peleka mkunazini
  10. H

    Dkt. Charles Kimei apewe Uwaziri wa Fedha haraka

    Huu ndio ukweli halisi tatizo ni mfumo! Naungana nawe Kwa hili
  11. H

    Google Pixel 4a 5G

    6 plane sh ngap
  12. H

    Dkt. Charles Kimei apewe Uwaziri wa Fedha haraka

    Bora ata uyu kuliko Mwigu
  13. H

    Zitto Kabwe: Wanaoliunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT

    KKKT Mbona nayo mizinguo tu kwasasa
  14. H

    Mwamba alivyojimaliza mwenyewe baada ya kugundua kuwa watoto aliezaa na mkewe sio wa kwake

    Dah sema jamaa mkuda sana Yani kaacha Mali iendelee kutafunwa tuu
Back
Top Bottom