Mtaendelea kupigwa tuu mana hamnazo mnabebesha zigo kubwa afu mnahaha na saved contacts kila mtu mnamtumia ujumbe. Juzi kati wamepga simu na matext kibao eti nmemdhamin mtu X na simfaham ila majibu walipata
Dhulma ni kubwa sana kwenye hii kada sijui huwa wanawaonaje Walimu. Intake ya 2012 Kigoma Manispaa walipanda 2019 kwa mara ya kwanza wakat wenzao sehemu nyingine walipanda 2016/17 lakin watu wapo na wanadai wanafanya kazi. Msoto ni mkali kwa hii kada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.