Recent content by halima_ chikota

  1. H

    SoC04 Tanzania tuitakayo lazima tuweke misingi Bora na endelevu katika kilimo

    Ahsanteeee kwa swali hii drone nimeweka kama mfano wa teknolojia ambayo itatusaidia kuokoa muda kwa kufanya kazi kwa muda mfupi na eneo kubwa hii inakuwa tofautii na watenda kazi hivyo basi wakulima wakiwezeshwa na kupewa ujuzi wa teknolojia kama hizi zitaongeza uzalishaji
  2. H

    SoC04 Tanzania tuitakayo lazima tuweke misingi Bora na endelevu katika kilimo

    UTANGULIZI Tanzania tuitakayo lazima tuweke misingi Bora na endelevu katika kilimo. Hii ni sekta nyeti ambayo inamchango mkubwa katika uchumi wa nchi zaidi ya asilimia 25 na kuajiri nguvu kazi zaidi ya asilimia 75. Lakini sekta hii inachangamoto mbalimbali kama mabadiliko ya tabianchi...
Back
Top Bottom