Recent content by Haldam11

  1. Haldam11

    Umeme umekuwa janga mkoani Kilimanjaro

    Sijui tumelikosea nini hili shirika
  2. Haldam11

    Umeme umekuwa janga mkoani Kilimanjaro

    Hali ya upatikanji wa umeme mkoa wa Kilimanjaro imekuwa changamoto kubwa sana, kwa siku umeme unaweza kukatika zaidi ya mara tatu, siku nyingne umeme unakatika zaidi ya masaa 16. Mkoani kwako hali ipoje?
Back
Top Bottom