Recent content by Hakuna kukata tamaa

  1. H

    Bwana afya unafanya nini sasa!

    Habari. Ktk manispaa hii kuna mitaa michafu Sana ikiwemo mtaa wa mshangano yani pale stendi ya malori zimemwagwa taka Hadi pananuka hazijazolewa. Njia ya kwenda kwa diwani kuna taka njiani yani mnataka Hadi tupate mlipuko wa magonjwa? Wilaya yetu maeneo ya kumwaga taka na kuzichoma yapo...
Back
Top Bottom