Recent content by hakiim ndagile

  1. H

    Mwanza - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Acha kupost ujinga we we, eti ukanda na ukabila! Pemba je? Hata iweje "Charity starts at home"
  2. H

    Lowassa amebakiza jambo hili tuu kutangazwa mshindi

    Mlimsikiliza Bulembo Jana!!!!!!!!? Eti "hawatakubali upinzani kutawala nchi hii!!!!!" Tume ya uchaguzi hamkuyasikia hayo? Mbona kimya?
  3. H

    GE2015 Ilani ya CCM 2015-2020 - Uchaguzi Mkuu 2015

    Walikataa maoni yetu ya katiba mpya tuliyoitaka nasi lazima tuwakatae sio kuja kututawala kidiktater kwa katiba hii mbovu!
  4. H

    Nashauri iitwe mahakama ya ufisadi na ukwepaji kodi!

    Mahakama hiyo ikianza ianze kusikiliza masuala ya Escrow na wahusika wake!
  5. H

    Magufuli akiwa rais, atafanya kazi na nani?

    Hatofanya lolote jipya mpaka awe mwana UKAWA. Kwa katiba hii ya ukandamizaji tusitegemee miujiza. Tunataka katiba ya wananchi ndo itatoa kiongozi bora.
  6. H

    Dr. Magufuli apata tuzo ya vijana ya kiongozi mfano nchini Tanzania

    Tatizo si Magufuli, tatizo ni ccm.!
  7. H

    Freeman Mbowe aongea na Waandishi wa habari, anaendelea Vizuri

    Pole PM mtarajiwa tunakuombea upone mapema. Usikate tamaa hata rais Kikwete alianguka jukwaani na sasa kamaliza muda wake.
  8. H

    Dk. Slaa ajiuzulu CHADEMA, Akasirishwa Lowassa kupokelewa bila masharti!

    Oh, Dr where are you? Speak it out? We are in dilemma!
Back
Top Bottom