Recent content by Hajisa

  1. H

    Bank teller/loan officer jobs

    Jamani, misahafu inasema kuwa, siku za mwanadamu ni miaka 70 na akiishi sana 80. Hivi mnajua tuko karne ya 21 na bado miaka kadhaa iishe, ila kwa kunukuu sentensi hiyo hapo juu, ni lazima wote tuishie kwenye karne hii. Hivi unaanda vipi maisha yako kwa ajili ya baadae? au una mawazo gani? jaribu...
  2. H

    Bank teller/loan officer jobs

    Jaribu kuandika cover letter na kuambatanisha na CV yako, kisha tuma tu, huwa wanaweza kukuita. Ila uvumilivu ni wa lazima sana maishani mwako
Back
Top Bottom