Kwamawazo ulio nena ni sahihi kabisa upinzani una kurupuka hata wana inchi tumewagundua na huyo nape nae ni jipu kama waziri yeye ni waziri wa habari kwanini akurupuke kuongelea kitu ambacho hajachunguza huyu nae ni gwajima pia
Ww chetichako ulishawai kukionyesha kwenye vyombo vya habari au ndio msafara wa mamba kenge hakosekani, hilo gwajim alipoanza kazi za kanisa alishawahi kuwa onyesha wakristo stashahada zake?kama sii teja na yy awe nani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.