Asante Sana ndugu....Mimi Kwa mtazamo wangu naona katika Jambo la internet bado hatuna taaluma ya kutosha jinsi ya kuitumia Kwa ajili ya kuleta maendeleo, hata katika familia nyingi za kitanzania unakuta mtu anakatazwa kabisa kutumia, na upatikanaji pia wa internet yenyewe nao ni mdogo, walimu...
Kama Africa tuna Mambo mengi Sana mazuri ya kujivunia na kuyatangaza duniani, tunakwama kwenye kuanza, Mimi naamini hili Jambo likianzishwa tutafika mbali Sana...Safari ya hatua 1000 huanza na hatua 1...tujipange, tuanze, tujiamini tutafanikiwa...hongera Sana Kwa idea nzuri...
Asante, ni kweli wazazi ndio walimu wa awali Kwa watoto, na wanachukua nafasi kubwa Sana katika maendeleo Yao, kiakili, kiuchumi na kielimu...Wana jukumu tukufu na tuwashukuru wanaotupa muelekeo chanya [emoji1431]
Kuna sehem katika mfumo mzima wa taaluma tunakwama, tunatakiwa tutafakari tujue tatizo liko wapi ndioo tutaweza kujua tunafanyaje kulitatua...binafsi mwenyewe nipo njia panda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.