TUNAKARIBISHA MATANGAZO YA AINA ZOTE KWA BEI NAFUU KABISA KATIKA MTANDAO WETU
www.hibazone.com
BIASHARA NI MATANGAZO
TUFATE WHATSAPP KWA NAMBA HII 0629206801
HABARI ZENU
TUNATAFUTA MTU/WATU AMBAO WATATUPATIA NOTES NZURI SANA ZA MASOMO YOTE YA SEKONDARI NA PRIMARY(primary class 1-7, o level na a level)
NOTES HIZO ZINATAKA KUCHAPISHWA KWENYE WEBSITE BAADA YA KUHAKIKIWA NA WATAALAM WA FANI YA UALIMU AMBAPO WANAFUNZI WATAZITUMIA KWA AJILI YA KUJISOMEA...
1ninachokiamini ni kuwa mwanafunzi hawez kusolve kitu kikubwa kama kidogo hajakiweza kwa maana mwanafunzi akipata notes zenye concept bora zitaweza kumsaidia kukabiliana na vitu vikubwa mbele na hilo ndo ambalo nataka nilione.
2.sio kama nimeshindwa kuandaa mwenyewe lakini haimanishi kutumia...
nitawaharibu wanafunzi kinamna gani ukiangalia mfuñdishaji bora wa physics dar ni moody na baada ya lecture huwapa wanafunzi wake pamphlet zenye notes bora
ili mwanafunzi aweze kufanikiwa vizuri ni lazima apate mwalimu alie bora pamoja na notes bora za kujisomea
kwa hiyo notes bora si sababu ya mwanafunzi kuwa kilaza
Wakuu naomba kama kuna mwalimu yeyote au mtu yeyote mwenye notes za masomo yote kuanzia ngazi ya primary hadi advanced level zilizo na maelezo mafupi na mazuri kwa mahitaji ya wanafunzi ili kuelewa haraka nazihitaji.
Nahitaji nizitoa copy ili niwape wanafunzi wa mashule.
Asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.