Recent content by Hadithi za Kusisimua9933

  1. Hadithi za Kusisimua9933

    Tamthilia: Mtu Aliyethibitishwa Kwenye Maisha Yangu/Certified Person of My Life

    SEHEMU YA 198 YUMA: Siwaangushi. Yani napita mule mule kama tulivyojadiliana jana. ISSA: kumbe jamaa anatafutaga sifa za bure lakini anakukubali kinoma? YUMA: Ndio hivyo. Siku zote anayekuchukia, anakutamani. Waliendelea kujisifia kule nyuma pasipokujua kwanini Frank amekataa kwenda mbele...
  2. Hadithi za Kusisimua9933

    Tamthilia: Mtu Aliyethibitishwa Kwenye Maisha Yangu/Certified Person of My Life

    SEASON 10 TAMTHILIA: MTU ALIYETHIBITISHWA KWA MAISHA YANGU CERTIFIED PERSON OF MY LIFE (CPL) [emoji3590][emoji91] ( SEHEMU YA 196&197 ) Happy moyoni alitegemea Frank lazma atasimama kwenda mbele. Hata Maria alijua Frank hawezi kishindwa kitu, lazma ataenda tu. Lakini Frank hakuwa na mpango...
  3. Hadithi za Kusisimua9933

    Tamthilia: Mtu Aliyethibitishwa Kwenye Maisha Yangu/Certified Person of My Life

    Ofa ya story mpya!!! [emoji39][emoji3590][emoji91] Zote 4 pamoja na kitabu cha Sayansi ya Tabia by JoelNanauka kwa tsh 1800 tu!! 1.mtu [emoji16] 2.kiraka kwenye nguo ya ndani🥹 3.kifo cha mwanangu[emoji24] 4.mngeniaga wazazi wangu mmeondoka mmeniachia mateso🥹 5.kitabu cha sayansi ya...
  4. Hadithi za Kusisimua9933

    Tamthilia: Mtu Aliyethibitishwa Kwenye Maisha Yangu/Certified Person of My Life

    SEASON 10 TAMTHILIA: MTU ALIYETHIBITISHWA KWA MAISHA YANGU CERTIFIED PERSON OF MY LIFE (CPL) [emoji3590][emoji91] SEHEMU YA 194&195 Frank kama kawaida yake, alienda kukaa kwenye siti ya mbele. Mioyo ya warembo wawili bila wao kujuana ilifurahi sana baada ya ujio wa mwanaume huyo. Happy...
  5. Hadithi za Kusisimua9933

    Tamthilia: Mtu Aliyethibitishwa Kwenye Maisha Yangu/Certified Person of My Life

    Ofa ya story mpya!!! [emoji39][emoji3590][emoji91] Zote 4 pamoja na kitabu cha Sayansi ya Tabia by JoelNanauka Whatsapp 0768315707 kwa tsh 1800 tu!! 1.mtu [emoji16] 2.kiraka kwenye nguo ya ndani🥹 3.kifo cha mwanangu[emoji24] 4.mngeniaga wazazi wangu mmeondoka mmeniachia mateso🥹 5.kitabu...
  6. Hadithi za Kusisimua9933

    Tamthilia: Mtu Aliyethibitishwa Kwenye Maisha Yangu/Certified Person of My Life

    ( SEHEMU YA 191 ) FRANK: Sijapanga kuongea kesho, kesho nitakuwa msikilizaji, yaani naenda na daftari langu kubwa kwa ajili ya kuandika vitu. HAPPY: Mmh sawa. FRANK: Sawa, kuna kingine? HAPPY: Kwahiyo unataka kusema hata kama atakayeongoza akiongea point za uongo utakaa kimya? Happy...
  7. Hadithi za Kusisimua9933

    Tamthilia: Mtu Aliyethibitishwa Kwenye Maisha Yangu/Certified Person of My Life

    SEHEMU YA 190 FRANK: Ah! nilikosea. Haya nambie! HAPPY: Ulisema kesho tutaenda kwenye majadiliano ya darasa? FRANK: Ndio ni lazima tuende. Vipi unataka kutokwenda? HAPPY: Siwezi kukosa, nimekupigia kukusisitiza usikose! FRANK: Siwezi kukosa! HAPPY: Alafu, unaonaje wewe ukaongoze majadiliano...
  8. Hadithi za Kusisimua9933

    Tamthilia: Mtu Aliyethibitishwa Kwenye Maisha Yangu/Certified Person of My Life

    SEHEMU YA 189 HAPPY: Yani mimi natamani sana kesho Frank aongee ikiwezekana mwanzo hadi mwisho. MARIA: Tena na zile pointi zake! we acha tu. HAPPY: Na venye amesema kesho lazma aende yani nitabeba na counter book la kuandikia mapointi. MARIA: Mimi nitachukua kile kidaftari changu kikubwa...
  9. Hadithi za Kusisimua9933

    Tamthilia: Mtu Aliyethibitishwa Kwenye Maisha Yangu/Certified Person of My Life

    SEHEMU YA 187 FRANK: Kwanza hakutaka hata kunisalimia, alafu uliondoka bila kuaga, yale yote yalinifanya nigundue nimefanya kosa. LOVE: Sasa kama ulifanya kosa kwanini hukuniomba msamaha mapema , umesubiri hadi mimi nije? FRANK: Nadhani hilo ni kosa langu la pili, naomba nisamehe. (Love...
  10. Hadithi za Kusisimua9933

    Tamthilia: Mtu Aliyethibitishwa Kwenye Maisha Yangu/Certified Person of My Life

    [emoji3590][emoji91] ( SEHEMU YA 186 ) FRANK: Hallo! LOVE: Samahani, nataka nije kwako muda huu, vipi unaniruhusu? Frank akawaza; Ni muda mfupi amemwambia Happy asiende kwakuwa amechoka. Kabla hajatulia Love nae anataka kwenda, si majaribu hayo?. Laiti kama angejua Happy na Love wanakaa...
Back
Top Bottom