Recent content by Habarisha

  1. H

    JamiiForums Tanzania PICHA: Hawa ndio waliomuua mwandishi wa Channel Ten (Daudi Mwangosi) huko Iringa

    Hakuwa hata na silaha ya jadi lakini ametendewa ukatili uliowahi kutokea Rwanda, Burundi na nchi ambazo damu ilimwagika. Hivi mnataka wafe watu wangapi ili tuseme Tanzania siyo nchi ya amani? Kitendo kilichofanywa na polisi Iringa kinazidi kuongeza chuki ya wananchi dhidi ya polisi.
Back
Top Bottom