Hakuwa hata na silaha ya jadi lakini ametendewa ukatili uliowahi kutokea Rwanda, Burundi na nchi ambazo damu ilimwagika.
Hivi mnataka wafe watu wangapi ili tuseme Tanzania siyo nchi ya amani?
Kitendo kilichofanywa na polisi Iringa kinazidi kuongeza chuki ya wananchi dhidi ya polisi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.