Asante mkuu kwa ushauri, kama nilivyosema hapo awali bado naendelea kutuma maombi, KUKATA TAMAA KWANGU NI MWIKO. Nisingelileta hapa JF nisingepata hata huu ushauri wako.
Mkuu nimeishatuma CV kwenye hizo Company na bado naendelea kutuma ila sijibiwi. Na wengine ambao wana connection naona wanapata hata bila kutuma CV, ndipo nikagundua wengi hawaangalii ujuzi ila nani kakupeleka. Ndio maana nikalileta hili swala hapa Jamiiforums ambapo najua kuna watu wanaweza...
Mkuu hivi vitu vinahitaji mtu aliye na experience ya kutosha ili kufanya kazi, akiwa hana experience lazima afanye kazi chini ya usimamizi. Mistake moja ya programming inaweza kuharibu kiwanda kizima na kuua watu. Si vitu vya kubahatisha.
Kuhusu project, nilishafanya project nyingi na nyingine...
Kwangu Mimi ili niweze kujiajiri nahitaji mambo makuu matatu.
1. Practical experience ya hicho nachotaka kufanya. Mimi ni bado ni Graduate sina hiyo practical experience.
2. Capital. Hii inajieleza sana.
3. Connection za kazi. Hii huwa inakuja automatic baada ya watu kukuamini kwamba unaweza...
Habari,
Rejea kichwa cha habari hapo juu. Nimemaliza Chuo mwaka 2020 , natafuta sehemu ya kufanya interniship ili niweze kupata uzoefu katika fani yangu.
Nina ufaulu mzuri wa masomo yangu ya engineering (Nina upper second class GPA) na nina ufahamu wa juu kuhusu:-
1. PLC programming...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.