Recent content by Ha slaka

  1. H

    Safari yangu ya utafutaji wa ajira

    Habari. Nimeuona.
  2. H

    Safari yangu ya utafutaji wa ajira

    Sina connection Mkuu.
  3. H

    Safari yangu ya utafutaji wa ajira

    Asante kwa comment yako.
  4. H

    Safari yangu ya utafutaji wa ajira

    Pole mkuu, huenda una stress. Ngoja nijitahidi kukuelewa tu.
  5. H

    Safari yangu ya utafutaji wa ajira

    Mkuu, umeelewa kilichoandikwa?
  6. H

    Safari yangu ya utafutaji wa ajira

    Nimeandika Mkuu haya yanatosha kutoka kwangu Asante. Ila kazi nilipata toka 2021.
  7. H

    Safari yangu ya utafutaji wa ajira

    Kwako yanaweza kuwa ya kawaida na kwa mwingine yasiwe ya kawaida. Kazi ninayofanya, kampuni, mshahara hayo ni personal siwezi kusema na halikuwa lengo la hee thread.
  8. H

    Safari yangu ya utafutaji wa ajira

    Habari wana JF July 2021 nilikuja humu kwa wana JF nikiwa natafuta kazi Click here for the reference. Nataka kushare na nyie wadau mambo niliyojifunza katika utafutaji wangu wa ajira, pengine kuna mtu itamsaidia hasa sisi tusiokuwa na connection. Kuna post ya mdau hapa JF niliiona ilikuwa...
  9. H

    Electrical Engineer Graduate natafuta kazi

    Asante mkuu kwa ushauri, kama nilivyosema hapo awali bado naendelea kutuma maombi, KUKATA TAMAA KWANGU NI MWIKO. Nisingelileta hapa JF nisingepata hata huu ushauri wako.
  10. H

    Electrical Engineer Graduate natafuta kazi

    Ni kupata internship ili niongeze experience
  11. H

    Electrical Engineer Graduate natafuta kazi

    Mkuu nimeishatuma CV kwenye hizo Company na bado naendelea kutuma ila sijibiwi. Na wengine ambao wana connection naona wanapata hata bila kutuma CV, ndipo nikagundua wengi hawaangalii ujuzi ila nani kakupeleka. Ndio maana nikalileta hili swala hapa Jamiiforums ambapo najua kuna watu wanaweza...
Back
Top Bottom