Perry, holygrail na anayejiita mpigamsuli huwa nashindwa kuelewa nia yao hasa humu ndani !, hawajawahi kuwa na mchango ulio productive hata mara moja tu !, sijui malezi waliyopewa kama waliyashika vizuri maana kauli zao ni za kujifukizia laana miilini mwao !, I feel sorry for them. .
Perry, holygrail , bado mpigamsuli kabla ya timu kukamilika !, kauli zenu zitawameza na mtashindwa kutoka humo !, its just a matter of time .. Hivi are you encouraging !, convincing an idea or discouraging ! _ for you _more are yet to come .. Anyway all the best to you all..
Kwa muda wote ambao serikali imekaa kimya na kubaki kukomalia kauli za kisiasa kuhusu ajira za walimu tofauti na miaka mingine sipati picha kama bado kutakuwa na kero katika halmashauri kwa walimu watakaopangiwa kuripoti, nakumbuka katika halmashauri moja mwaka 2012 _ Afisa mmoja alifungiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.