Recent content by H r n

  1. H r n

    Saikolojia inasema;Nothing kills you faster than your own mind.acha kuumiza akili kwa vitu vilivyoko nje ya uwezo wako

    Too much overthinking 😪 Too much expectation 😪 Too much overconfidence Too much stress 😩
  2. H r n

    Usimcheke binadamu mwezako kwa maradhi yanayomkabili ingali wewe bado unapomua

    Yap mkuu let be humble no matter what a person did or done
  3. H r n

    Usimcheke binadamu mwezako kwa maradhi yanayomkabili ingali wewe bado unapomua

    Kuna kamtindo cha baadhi ya watu kubeza wenzao kuhusu ugonjwa fulani ambao umemkuba au unamsumbua kwa sababu tu ya mambo ya ku view majambo ya dunia au ushabiki fulani, ikitoka kutofautiana huko alafu mmoja wapo apate ugongwa mwenzake unakuta anatumia ile weakness ya ugonjwa kumbeza mwenzake...
  4. H r n

    Mwanaume usikubali kutoa mahari kwenye kuoa

    Amka kutoka usingizi mkuu amka
  5. H r n

    Graduate Volunteering Has Turned into Modern Slavery in Tanzania

    Akili yako utakavyoamua iwe katika maisha yako ndo itaamua uwe mtumwa au la
  6. H r n

    Haina maana kujengeana chuki ndani ya JF

    We are one big family 👪
  7. H r n

    Hii ni akili au kukengeuka?

    Mkuu mnisamehe mie hii agenda haina tija let focus na mambo mengine am wrong tuishi kwa umoja mzozo tusiupe nafasi 👪
  8. H r n

    Hii ni akili au kukengeuka?

    Tafuta pesa mkuu
  9. H r n

    Hii ni akili au kukengeuka?

    Hii agenda tungeachana nayo mkuu haina tija sisi ni family 👪 moja am wrong tuishe hebu .
  10. H r n

    Hii ni akili au kukengeuka?

    Shukrani maalimu we are together ❤ ♥
  11. H r n

    Hii ni akili au kukengeuka?

    Hilo ni somo jingine mkuu
  12. H r n

    Hii ni akili au kukengeuka?

    Sorry 😞 wala sijakashifu mkuu am sorry 😞 siwezi kukushifu mimi am sorry kama umeelewa vibaya am sorry siyo mtu wa hivyo am sorry mkuu am sorry kama umekwazika samahani sana sikuwa na maana hiyo mkuu mie ni binadam nimekoseam am sorry tuishi kwa upande na umoja samahani sana haito jirudia namaanisha
  13. H r n

    Hii ni akili au kukengeuka?

    Sasa hili ni darasa refu mno .muda muchache
  14. H r n

    Hii ni akili au kukengeuka?

    Hahahaha ukweli anaujua mkuu huyu anatubabaisha tu
Back
Top Bottom