Kuna kamtindo cha baadhi ya watu kubeza wenzao kuhusu ugonjwa fulani ambao umemkuba au unamsumbua kwa sababu tu ya mambo ya ku view majambo ya dunia au ushabiki fulani, ikitoka kutofautiana huko alafu mmoja wapo apate ugongwa mwenzake unakuta anatumia ile weakness ya ugonjwa kumbeza mwenzake...
Sorry 😞 wala sijakashifu mkuu am sorry 😞 siwezi kukushifu mimi am sorry kama umeelewa vibaya am sorry siyo mtu wa hivyo am sorry mkuu am sorry kama umekwazika samahani sana sikuwa na maana hiyo mkuu mie ni binadam nimekoseam am sorry tuishi kwa upande na umoja samahani sana haito jirudia namaanisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.