Hakukuwa na haja hata ya kukaa hicho kikao. Mwanamke akikwambia hana hisia na wewe au hakuhitaji unatakiwa uachane nae. Mahusiano yanataka utayari wa pande zote mbili ili yaweze kudumu na kuepusha kuumizana.
Ni hatari sana kuishi na mwanamke ambae moyo wake uko sehemu nyingine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.