Recent content by Gwanggaeto the Great

  1. Gwanggaeto the Great

    JamiiForums Tanzania Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Aah okay, huku kwetu hamna kazi kali ya kufuatilia?
  2. Gwanggaeto the Great

    JamiiForums Tanzania Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    HII BLADES OF THE GUARDIANS ilifaa kuwa series iagusa visa wakati wa Sui Dynasty. The best martial art film to watch in 2026. Wu jing, Nicholas tao, Max Zhang & Jet li. Muda huu bado natafuta historical drama nzuri za kikorea, je wachina historical drama zao ni nzuri siku hizi?
  3. Gwanggaeto the Great

    JamiiForums Tanzania Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Kwangu mimi ni "Okay drama" inastahili muda wako. Kama uliipenda A Scholar Who Walks the Night. hata hii utaipenda, hii inazungumzia roho zilipo kwenye jumba la kifalme wakati ile inazungumzia Vampire.
  4. Gwanggaeto the Great

    JamiiForums Tanzania Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Nimeimaliza THE EASTERN PALACE Koreans are just Koreans, kuna ladha fulani hawa watu wanayo ambayo huwezi ipata Japan & Wachina.
  5. Gwanggaeto the Great

    JamiiForums Tanzania Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Toshizo yuko good ila aingemuweza Srizawa Kamo maana lile jitu ni heavyweight dogo alimmudu Serizawa sababu ni mwepesi sana.
  6. Gwanggaeto the Great

    JamiiForums Tanzania Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Mwamba anadharqu huyu, Serizawa kamo na siku amini kama Dogo OKITA ndo angamkalisha. Sema hawa wawili pambano lao lilikuwa sensational tangu episode ya kwanza. Dharau na kiburi chake nilimkumbuka Jang hyuk na Kim Nam gil Wajan wanamfanano fulani katika culture na wakorea kuliko wakorea na wachina.
  7. Gwanggaeto the Great

    JamiiForums Tanzania Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Story kali. Niliitazama nadhani 2013 Nikairudia 2020
  8. Gwanggaeto the Great

    JamiiForums Tanzania Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Wajapan walinivutia baada ya kuitazama THE LAST STANDING SAMURAI
  9. Gwanggaeto the Great

    JamiiForums Tanzania Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    1241 Binge moja la kazi Hong gil Dong
  10. Gwanggaeto the Great

    JamiiForums Tanzania Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    BAEK DONG SU ni top-notch. Drama za zamani zina ladha fulani ambayo kupata kwenye drama za sasa mpk utafute sana. Halafu ilikuwa raha sana kabla ya haya ma- Netflix , Disney, Amazon kuiingilia soko la korea na mambo ya seasons
  11. Gwanggaeto the Great

    JamiiForums Tanzania Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Asante kwa recommendations Niliamua kuruduia hivi vigongo. Six flying Dragons, TREE WITH DEEP ROOT, WARRIOR BAEK DONG SU. ZOTE NI KALI BUT WARRIOR BAEK DONG SOO INASTORY NZURI ZAIDI. Huyu mwamba aliigiza km Mfalme Suk Jong kwenye Royal Gumbler, pia adui kwenye Lawless lawyer, pia kwenye Bae...
  12. Gwanggaeto the Great

    JamiiForums Tanzania Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Hatimaye leo nimeamua kuitazama. THE SWORDMAN Wow, Jang Hyuk hajawahi kukosea, hafai humu ndani. Though iko emotional sana. 5 🌟 Recommendation ya drama pls
  13. Gwanggaeto the Great

    JamiiForums Tanzania Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Kupata drama za zamani ni changamoto siku hizi, dramacool alikuwa mkombozi.
  14. Gwanggaeto the Great

    JamiiForums Tanzania Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    But K-dramas sell better internationally than other Asian' dramas. Drama za wakorea zimeenda shule. Wachina hawajawahi kunivutia kwa ujumla kwenye drama. Baadhi ya drama za kichina zilizowahi kunivutia 1. A FIST WITHIN FOUR WALLS 3. THE RIGHTEOUS FIST 2. ARROW IN THE BOWSTRING 5. THE DREAM 4...
  15. Gwanggaeto the Great

    JamiiForums Tanzania Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Sema hii kazi THE MANIPULATED iko vizuri aisee mpk story yake, Jamaa alikuwa a tragic hero. Na huyu adui wa humu ndani kakwiva, jamaa ni mkatili mpk anatisha. Kwangu mimi ndiye adui alikuwa mkatili zaidi hata kuliko adui wa kwenye TEMPEST na NO MERCY. Kituo kinachofuata ni Trigger
Back
Top Bottom