Recent content by gunah

  1. gunah

    INAUZWA Fried and fresh dagaa from Mwanza wanauzwa

    Habarini wapendwa karibuni fried dagaa kutoka Mwanza dagaa watamu hawana uchungu wala mchanga kwa bei rafk sana karibuni. Container dogo 2500 Container size ya kati 5000 Size kubwa 10000 Karibuna sana napatikan kwa 0688991793 Dar es salaam.
  2. gunah

    Tatizo la kutokwa na uchafu ukeni- Pata ufafanuzi wa kina, ushauri na tiba ya tatizo hili

    Habarini wana jamvi natumai wote ni wazima. Nahitaji msaada wenu katika hili, nina mdogo wangu ana umri wa miaka 20 amepatwa na tatizo uke unatokwa na uchafu mwingi na pia wa rangi ya njano una harufu ya hamila na muda mwingine unatoka kama maziwa mgando. Wapendwa naombeni msaada wenu mnijuze...
  3. gunah

    Msaada; Magonjwa haya mawili yanahatarisha afya ya mama yangu

    Pole san mkuutafuta kuna dawa ya kisukarwi hiyo hapo chin au waweza wasilian nam
  4. gunah

    Msaada tatizo la taxi dume

    Pole san mkuu Na pia anaweza jaribu kutumia prostatrelax kam gharam nikubwa inazuia na inaponya tezi dume Wasilian nam kwa namb 0620466556
  5. gunah

    Kutokwa uchafu mzito kama maziwa wakati wa tendo la ndoa.

    Pole sana mkuu Pia ajaribu kutumia femicare ni dawa nzur kwa magonjwa ya uken Wasilian na mi no 0620466556
  6. gunah

    Ngozi inanisumbua

    Pole sana Jaribu kutafuta hii sabuni inasaidia sana magonjwa ya ngozi au wasiliana nami
  7. gunah

    Mjadala wa Ushauri na tiba ya maumivu makali ya tumbo wakati wa hedhi (dysmenorrhea)

    Tafta Dawa hii yaweza kukusaidia au wasilian nam
  8. gunah

    Siku ya kwanza kula/kuliwa denda (french kiss) ulihisije?

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  9. gunah

    Ninapata wakati mgumu sn kimapenzi

    Nendeni mkafungie serikalini tu
  10. gunah

    Ushauri: Mpenzi wangu akipost picha za rafiki zake wa kike status naumia sana

    Tatizo umekariri sana mtu yeyeto aweza sema sawa mkuu
  11. gunah

    Ushauri: Mpenzi wangu akipost picha za rafiki zake wa kike status naumia sana

    Mm ni kE fikra zako ndo zinakutum hvo kisa nimesema sawa mkuu[emoji23] Badili fikra mkuu Ata hivo nimepata ushauru tayar
Back
Top Bottom