Recent content by Gulugujatza

  1. Gulugujatza

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Joyce Kiria: Mwanamke kumhudumia mwanaume ni ujinga

    Kwanza angalia hayo makucha tu utajua huyo n mwanamke wa aina Gani..
  2. Gulugujatza

    JamiiForums Tanzania Je, unahitaji kumiliki simu ya ndoto yako kwa bei nafuu? Usiache kupitia huu uzi

    Kioo Samsung Note 10 plus kwa bei gan naweza pata?
  3. Gulugujatza

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba niongee na nyinyi wamama mnaotumia watoto kama tiketi ya kutoka nyumbani

    Daaah aiseee
  4. Gulugujatza

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba niongee na nyinyi wamama mnaotumia watoto kama tiketi ya kutoka nyumbani

    Saaana kwakweli...,ndo Hawa wanao waingilia wanawake hata wakiwa kwenye siku zao
  5. Gulugujatza

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba niongee na nyinyi wamama mnaotumia watoto kama tiketi ya kutoka nyumbani

    Supu za usiku ndo za paka na kunguru hizo ndugu kuwa makini 😁
  6. Gulugujatza

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba niongee na nyinyi wamama mnaotumia watoto kama tiketi ya kutoka nyumbani

    Kwani haujalala tu au muda Bado 🤣
  7. Gulugujatza

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba niongee na nyinyi wamama mnaotumia watoto kama tiketi ya kutoka nyumbani

    Mwalimu wao kipofu kwakweli ahahaha
  8. Gulugujatza

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba niongee na nyinyi wamama mnaotumia watoto kama tiketi ya kutoka nyumbani

    Muda mwingine unadhani kususa basi utasikia kisa mumewe Hana muonekano wa mvuto so kakuta jamaa ananynyua vyuma ana kimkono kimevimba bas anakuwa analidhika basi 😁
  9. Gulugujatza

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba niongee na nyinyi wamama mnaotumia watoto kama tiketi ya kutoka nyumbani

    Yani mungu awalinde sana watoto zetu aiseee,wanaume wengine tupo kama mashetan lengo ni kukidhi haja tu basi mengine hatuangalii
  10. Gulugujatza

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba niongee na nyinyi wamama mnaotumia watoto kama tiketi ya kutoka nyumbani

    Naomba NIONGEE hili jambo moja kwa moja hata kama sijatoa salamu.. Eeeenyiiii wazazi wa kike Kuna baadhi yenu mnapenda sana kuondoka/kutoka majumbani kwenu huku umebeba mtoto mgongoni au kumshika mkono ukiamini kwamba hata mzee akirudi nyumbani akiambiwa mama flani katoka na mtoto kunakuwa...
  11. Gulugujatza

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Lipi ni bora, kuwa muhuni yani nitoke nje ya ndoa au kuachana na huyu mwanamke?

    Asante sana boss
  12. Gulugujatza

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Lipi ni bora, kuwa muhuni yani nitoke nje ya ndoa au kuachana na huyu mwanamke?

    Mpaka nmefika apa nilipo nmekuzwa na single mother s kwamba wote wapo hvyo ila sikatai kwamba hawako sawa maana Mimi baada mama kusepa mzee alipata single mother akakaa nae na nililelewa na single mother huyo mpaka namaliza chuo na kuanza kazi ndipo nilipokosa hayo malezi yake..,ndilo nilikuwa...
  13. Gulugujatza

    JamiiForums Tanzania Niliharibiwa, nimepata uraibu wa kutamani Wanaume. Naomba msaada niweze kuacha

    Piga sana zoezi la kutosha ninaimani utakuja kukaa sawa
  14. Gulugujatza

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Lipi ni bora, kuwa muhuni yani nitoke nje ya ndoa au kuachana na huyu mwanamke?

    Nmeshafanya hvyo mkuu
  15. Gulugujatza

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Lipi ni bora, kuwa muhuni yani nitoke nje ya ndoa au kuachana na huyu mwanamke?

    Tayari nmeshaachana nae
Back
Top Bottom