Recent content by gulala

  1. G

    Lowassa: Nimeshawishika, Nitagombea urais...!

    chonde chonde watanzania hizo fedha alizozitumia Lowasa atazirudishaje? na hao marafiki zake atawalipa nini? kweli kwa hali Tanzania ilipofikia tunahitaji kiongozi wa kununua madaraka? tuacheni ushabiki tuipende nchi yetu tupate kiongozi atayepinga matumizi ya rushwa ya aina yeyote tutoke...
  2. G

    Warioba; Hasira zako usizitumie kuibomoa nchi

    kuna watu mnatia kichefuchefu, nchi yako na nani? hayo mawazo ni ya kwako na mke wako na magamba siyo ya watanzania, ulitaka warioa akusanya makaratasi na kanda zote walizorekodi apeleke kuwasomea wajumbe, wala hujui tume ya walioba ilitumwa kufanya nini kuna mambo mengine mnapotumwa kusema...
  3. G

    Nape: wanaotaka serikali 3 ni wahuni na wana uchu wa madaraka.

    Nilishawahi kumsikia mama yake akisema utotoni Nape alikuwa na dalili zote za utahira, mama yake yuko pale kwimba ngudu ameweka makazi yake malya, kwa hili nakubaliana kabisa Nape anadalili zote za utahira
  4. G

    Zitto Kabwe Adai kwa Kiapo Hana Majina ya Wenye Akaunti Uswisi - AG

    Ndege mjaja hunaswa na mtego mbovu, ZZK hakujua kama shetani siku zote hawezi kumpenda Mungu
Back
Top Bottom