Mdau sitaki kuonja asali nataka nichukue jumla mzinga nikae nao ndani naomba Mungu nipate mtu serious nipate Mke ninaeweza kumpenda na yeye akanijali na kuniheshim kama mume wake. Nakomaa Mdau.
Wadau niombeeni nipate mtu sahihi, wa mitaani(wa ana kwa ana) na wamtandaoni hawana tofauti ndoa nyingi zina shida na zimevunjika na sababu sio kwa sababu wamepata mtu mtandaoni ila hawakuwa na bahati ya kupata mtu sahihi. Nimependa nitafute mtandaoni kwa sababu najua nitapata mtu mwenye hitaji...
Mwanamke anaeingia kwenye ndoa kwa sababu ya hivyo vigezo pekee hasara kubwa itakuwa kwa Mwanaume (Muoaji) kwa sababu atakuwa hajapata Mke mwema, maisha yanabadilika na majuto lazima yampate. Wakristo tunaoa mara moja tu.
Habari zenu wadau, natafuta mchumba wa kike ambae atakuwa Mke umri wangu 34 asiwe na mtoto, awe mkristo, mimi nipo Dar es Salaam :mimi ni mrefu mweusi, mengine tutamalizana PM
Karibuni Sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.