Link hizo Sasa tujiungeni Ili discussion zifanyike
Hello, kwa wale wa Tax Management Assistant tujiungeni kwenye hili group Ili mambo yaendelee ya kudiscuss.
https://chat.whatsapp.com/LoB1FLtTosGCKbb0TFxTat
Naona mtoa Uzi katoa Uzi mzuri Sana kuna kitu amesema kama mwenye Link ya magroup ya Whatsapp kutokana na nafasi za kazi mbalimbali basi aweke link Ili kwa watu wasio kuwa na link hizo wazipate kwa ajiri ya discussion lakini Kila mtu anaongea lake nje kabisa na mada ya mtoa UZI.
Hello Wana JF
Nashida katika uombaji ajira hizi za Uhamiaji, nimesha fanikiwa atua ya awali ya kujisajiri Sasa changamoto inakuja pale ninapo taka kuendelea kuja taarifa zangu zingine hainiletei muongozo unao fuata, mwenye ufahamu zaidi naomba Msaada.
Ulijaribu kuomba hizi nafasi za utendaji wa Kijiji zilizo tangazwa hivi siku za karibuni kupitia ajira Portal maana huwa zinahitaji watu wa certificate pia Bado zinaendelea kutangazwa Kila siku.
Hao kwa kawaida wapo katika makundi mawili wa kwanza ni Optimized PITC -huyu yeye analipwa TSH 150,000/= kama sehem ya posho kwa mwezi pia anaingia Kila siku kazini na sio mshahara kutokana na necha ya mradi. Pia kundi la pili wanaitwa CBHS hao kwa taratibu huwa wanaingia siku za clinic tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.