Recent content by Grealish10

  1. Grealish10

    Maisha baada ya kumzika mwanangu

    Ni kweli kabisa mkuu niko vipande vipande
  2. Grealish10

    Maisha baada ya kumzika mwanangu

    Ni kweli mkuu yani naamka nalala kama gogo mimi
  3. Grealish10

    Maisha baada ya kumzika mwanangu

    Kaka naomba nisaidie mistari ya ayubu katika biblia
  4. Grealish10

    Maisha baada ya kumzika mwanangu

    Habari ndugu zangu, Asante kwa wote mliolia nami katika kifo cha binti yangu mpendwa aliefariki kwa uzembe wa watu wa afya, faraja yenu ilikuwa tiba sana sijaamini JamiiForums kuna watu wana roho nzuri hivi na wanaumia kwa matatizo ya watu. Maisha baada ya maziko yamekuwa magumu sana muda wote...
  5. Grealish10

    Kifo cha mwanangu kipenzi kimetokana na uzembe

    Ilikuwa hivo walimuwekea dripu tu mda kashalegea kazidiwa
  6. Grealish10

    Kifo cha mwanangu kipenzi kimetokana na uzembe

    Mkuu mimi ni baba sio mama
  7. Grealish10

    Kifo cha mwanangu kipenzi kimetokana na uzembe

    Inauma ...inauma nikama moyo unavuja damu natafuta angalau mtu aushike usivuje aniambe pole tu iniponye maumivu haya ya milele, mtoto mdogo alieonja maisha alifariki kwa mateso makali mbele yangu ni kitu ambacho kili wakati kinajirudia napoteza hamu ya aya maisha kabisa...nimemzika mwanangu kwa...
  8. Grealish10

    Kifo cha mwanangu kipenzi kimetokana na uzembe

    Hakika kuzika mtoto kunaumiza sijajua kama kuna maumivu yanapita haya
  9. Grealish10

    Kifo cha mwanangu kipenzi kimetokana na uzembe

    HOSPITAL IPO DAR ES SALAAM , WILAYA YA ILALA NI YA SERIKALI....IPO BARABARANI KAMA UNAENDA KARUME....MTOTO ALIKUWA NA JOTO TU NA ALIFIKA MZIMA KABISA LAKINI YALIYOTOKE NIMESHTAKI KWA MUNGU ATAAMUA YEYE NDIO ANAJUA NAPITIA YAPI MANESI NA DOKTA SIWAJUI KWA JINA ILA SURA ZAO SITAZISAHAU NA OFISI...
  10. Grealish10

    Kifo cha mwanangu kipenzi kimetokana na uzembe

    Uko msibani ndugu, unajua mtoto hajazikwa au kazikwa suala la namba limekuuma sana sio ni hela ndio unawaza
  11. Grealish10

    Kifo cha mwanangu kipenzi kimetokana na uzembe

    Naomba niulize nikitaja hospital itamrudisha mwanangu? Namba sihitaji mchango nahitaji msaada wa kiroho au mwana saikolojia nahisi roho yangu inatoka sijatumiwa na mtu hata 100 wala sijaomba pesa ya mtu punguza ujuaji kwenye masuala ya watu
  12. Grealish10

    Kifo cha mwanangu kipenzi kimetokana na uzembe

    Naomba mwandishi mmoja mzuri aneweza kuandika anaitafute nimuelezee mwanzo mwisho yeye ndio aandike mimi sijaja kuomba au kumwambia mtu nimelia uchungu huishe lakini hauishi naitaji faraja hata ya maneno wana jf naumia sana jamani nafarijika nikisoma pole
  13. Grealish10

    Kifo cha mwanangu kipenzi kimetokana na uzembe

    Niko radhi kukujibu yote ila sio kuandika hapa njoo inbox au namba yangu 0699574224
Back
Top Bottom