Recent content by grauya

  1. G

    Upotevu wa vyeti vya taaluma

    Thanx kaka
  2. G

    Upotevu wa vyeti vya taaluma

    Poa kaka Loss report tayari nimeshapata tokea jana next step ni kupeleka tangazo kwenye gazeti.la serikali kama havitopatikana ni kurudi chuoni wanitengenezee vingine japo nazani kuna gharama utalipishwa.
  3. G

    Upotevu wa vyeti vya taaluma

    Habari wana jamii forum naitwa Gilbert Zenas Rauya tafadhali nimepotelewa na vyeti vyangu original vya taauluma kwenye bus la Kimotco mnamo tarehe 29-11-2021 lilikua linatoka Moshi kwenda Mbeya bag langu liliibiwa halikuonekana kabisa na lilikua na vitu vinginevyo kama External harddisk GB500...
Back
Top Bottom