Recent content by Governor of Bettors-GB

  1. Governor of Bettors-GB

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hawa Rs Berkane vs Algers ndio mgomo umeendelea wa kuingiza Team uwanjani? Nawasubiria,wacheze hata mwakani,wamebakia wao tu kenge hawa,Waarabu wabishi
  2. Governor of Bettors-GB

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mtu akisema inabidi kujiongeza Sometimes KANJI anatambaa na uoga wetu
  3. Governor of Bettors-GB

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Liverpool Katika ubora wake Hii ndio KAMARI Katika ubora wake
  4. Governor of Bettors-GB

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Sheffield kama JKT Tanzania
  5. Governor of Bettors-GB

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    MISO MISSONDooooooo Wamepigwaje hapoooooo🤣🤣🤣🤣🤣 Na ndio weekend haijaanza shughuli trela limeanza Wake wa live score wahini Corners zitatoa kibao Liverpool na man united
  6. Governor of Bettors-GB

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Weka kisha utupe mrejesho Maana uhakika hatuna,maana mpira hatuchezi sie
  7. Governor of Bettors-GB

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    🤣🤣🤣🤣 Mdau unajua betting ni Sawa na kupiga Punyeto Unamvitia Stim Wema Sepetu na unamtia Mimba kabisaa wakati yeye hata hakujui Ukisikia Wema kachukuliwa na Whozu unamuacha na talaka na makasiriko juu,kisha unahama kwa JOKATE,ukisikia JOKATE amezaa unahama kwa Gigy Money Sasa...
  8. Governor of Bettors-GB

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    JKT vs YOUNG AFRICANS Hii Mechi mara ya inawekwa mara inatolewa Naona mida hii pia imetolewa options zoote Sasa sijui huko Mbweni JKT mvua imenyesha tena au vipi Jamaa JKT hawataki kutoa hata mia yao kukodi Chamanzi,milin 5 sio Poa🤣🤣🤣
  9. Governor of Bettors-GB

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    🤣🤣🤣🤣🤣 Aisee K Vant hazimuachagi mtu Salama Anafanya betting simple hivyo kama kutongoza Bar maid Njia zoote anazofanya watu waliishafanya kabla hajazaliwa
  10. Governor of Bettors-GB

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    ARSENAL basi tena acha Sifa Au unataka tuweke na Sie Bango
  11. Governor of Bettors-GB

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Itakuwa chini mnoo Maana JKT na Young Africans wenye odds kubwa Mechi imeahirishwa,means inatolewa But congratulations for the rest of matches
  12. Governor of Bettors-GB

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Haya Twendeniii Humu Usiku wa leo mpaka Kesho Usiku Code: EE09E60 Stake:2,000 at least Bet responsibly
  13. Governor of Bettors-GB

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wauza Codes wamekasirika🤣🤣🤣
  14. Governor of Bettors-GB

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kamba hizo Mdau🤣🤣🤣🤣 Either anapost kwa kujua au bado kuna vitu Duniani vinampita Tangu juzi naona hiyo promotion ya kimtindo
  15. Governor of Bettors-GB

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    🤣🤣🤣🤣 Italy tabu kitambo tu ni League ya wacheza KAMARI Utakumbuka kuna Boss wa Team tena iliyowahi kuchukua Ubingwa alinaswa kupanga matokeo.Akihusishwa na Mabillionea wanaobet. Yaani inacheza tu league ya Italy ila ina mipango Mingi mnoo ya nje ya Uwanja Championship ya Italy ndio...
Back
Top Bottom