Recent content by goodluck5

  1. G

    PostGE2025 Samia hana uwezo wa kuingia mitaani kuongea na wananchi. Kadri anavyoendelea kuua anaongeza hasira za watu!

    Uwezo wake mdg halafu anang'ang'ania kuwa rais, huyu alipaswa kuwa naibu waziri ustawi wa jamii huko!
  2. G

    PostGE2025 Mwananchi: Tatizo serikali inachokizungumza na inachokitenda vinakinzana

    Kenge huwa hasikii kipigo hadi damu zitoke kwenye masikio
  3. G

    Makonda ni kiongozi anayekuvunja miguu gizani halafu anakuletea magongo hadharani

    Tushakuzoea we mlamba makalio ya watawala!
  4. G

    PostGE2025 Jeshi la Polisi: Maandamano ni biashara na wachache ndiyo wanufaika

    Maadam katiba inaruhusu maandamano basi ni biashara nzuri na halali!.
  5. G

    PostGE2025 Nov 12: Kesi ya uhaini inayomkabili Tundu Lissu yaahirishwa kwa muda usiojulikana mpaka Mahakama itakapotoa Notisi ya siku ya kusikilizwa

    Kibox chenye mashahidi wa chaumma, ukikifunua gafla hapo unaweza kukuta humo ndani yumo Mbowe au Yeriko hahahhaaa
  6. G

    PostGE2025 Sheikh Rusaganya: Viongozi wa dini nyingine mnaotoa matamko kuweni na adabu! Kwanini kila Rais anapokuwa muislamu mnatoa matamko?

    Samuya anapingwa na kila mwenye akili timamu, hatoshi kbs kwwnye urais...hata Lipumba (muislam mwenzake tena Prof) kasema majuzi kwamba ANAPWAYA PWAYA!.
  7. G

    PostGE2025 Firstpost: Makanisa na mashirika ya misaada yapaza sauti kuhusu vurugu na mauaji yaliyotokea kwenye Uchaguzi

    Kabisa mkuu, au eti polisi wanakupa ripoti waandamanaji wametoka sijui wapi kuja kuandamana Tz...na wewe bila tafakuri kwamba inawezekanaje hilo kutokea unatoka kuja kwa public kutuambia watz juu ya ujinga huo! Polisi hawahawa waliosomea elimu ya mafriji kisha wakawa wataalam wa picha mtandaoni!!.
  8. G

    Hii hapa tovuti ya watu waliotekwa au kutoweka katika mazingira tatanishi

    Wazo zuri, swali dogo...hivi tofauti kati ya mtu 'aliyetoweka' na 'hapatikani' ni ipi mkuu?. Nafikiri angechagua neno moja hususani ametoweka ili isichanganye watu.
  9. G

    PostGE2025 Firstpost: Makanisa na mashirika ya misaada yapaza sauti kuhusu vurugu na mauaji yaliyotokea kwenye Uchaguzi

    Samuya ni dhaifu sana ndio maana akafanyiwa mpango asipate mpinzani wa maana kwenye uchafuzi mkuu, hata hivyo bado wananchi wengi wakamsusia kwa kutotoka kwenda kupiga kura! Kuthibitisha uwezo mdg wa akili ya samuya tume ikamdanganya eti kapigiwa kura na jumla ya watu ml 32 naye akakenua meno...
  10. G

    PostGE2025 Samia amekera watu kwakuwa watu walipotekwa hakutoa pole ilimaanisha ameridhia utekwaji wa raia wake

    Hilo liko wazi kbs, we jiulize kwann watekwaji ni wale wanaomkosoa tuu...wa pongezi za kuupiga mwingi aah wenyewe hawahusiki!.
Back
Top Bottom