Askari polisi kituo cha Nyegezi kushirikiana na mgambo wanakamata wateja wetu katika ofisini zetu za Nyegezi, Buhongwa Mkuyuni, licha ya kulipa mapato yote ya serikali, hii ni halali?
Wakiwakamata wanawapa kosa la kucheza kamali, je betting ni kamali?
Mbona tunakata lesseni na tunalipia TRA?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.