Easy sana kwa mizigo midogo kuna agent ambae anasafirisha kwa njia ya ndege ambayo ndo fatest way lakini ni expensive kidogo. Otherwise kwa mizigo ambayo ni mizito naituma kwa sea cargo
So far kuna dada yangu ana duka lake kariakoo la nguo za wanawake. Naweza kumtumia kama mdhamini kwa mtu anaetaka mzigo flani baada ya kudiscusa juu ya gharama za kununua na kutuma. Naweza kumpa namba ya huyo ili awe link between na pia kumpa imani mtu anaetaka bidhaa flani.
Inawezekana kabisa...hata me plans zangu nikujilita kwenye biashara ya kununua mzigo na kutuma Dar as well as kuchukua order za watu na kuwatumia. Tatizo ni uaminifu na mtaji. Uaminifu kwa maana hii kama mtu anataka mzigo flani na hatujuani ntumekutana huku kwenye mitandao ya kijamii je...
Ukinunua mzigo ukiwaachia hotel name na room number wanakufikishia mzigo wako salama kabisa. Mizigo yako yote unaweza kuiifadhi hotelini hadi siku unayoondoka ukachukua tax hadi airport
Maduka hayo yako sehemu inaitwa Naif. Ukifika airport ukiongea na tax driver anakuleta Naif unatafuta hotel ila ukiwa na mwenyeji ndo rahisi zaidi atakusaidia ku book hotel na kukutembeza madukani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.