Recent content by Golobeja

  1. G

    GE2020 CHADEMA wakipata Wabunge zaidi ya watatu tuwapongeze

    Kwasasa huna akili kabisa P naona umezeeka ubongo
  2. G

    GE2020 Mwana JF, be the first to know kuwa CCM ndio mshindi wa jumla wa Uchaguzi huu

    Na wewe ndiye mwamndishi wa Kwanza kuwa Afisa kipenyo sio?
  3. G

    Nahitaji mayai ya kisasa

    Bado unahitaji
  4. G

    GE2020 Wana JF, nipeni Pole. Msinicheke wala msinibeze; nimegombea ubunge Kawe kupitia CCM nimeambulia kura 1. Ama kweli CCM ina wenyewe!

    Paskali karibu CHAUMA upate ubwabwa kuku nilijua huwezi kushinda CCM ukiwa na njaa
  5. G

    Tunaposhangaa wanaotuongoza hawajatufikisha tunapohitaji tuwe makini sana, tusije tukawa tunajipinga wenyewe

    Tuache kusingizia mabeberu tufanye kazi na kuielewa dunia ya sasa ni kutumia akili hakuna anelazimishwa kitu
  6. G

    Tunaposhangaa wanaotuongoza hawajatufikisha tunapohitaji tuwe makini sana, tusije tukawa tunajipinga wenyewe

    Unataka kusemaje kwani? Umaskini wa mtu mweusi tusimpe lawama mtu mweupe unasababishwa na sisi wenyewe amabao wengi wetu ni wavivu hatujitambui hatuna uaminifu na tunapenda starehe sana
  7. G

    Chadema wanazidi kuonyesha ukomavu

    Kama kawaida naendelea kupambanua hali ya mchuano na mtifuano mkali katika medani za siasa hasa katika kipindi hiki muhimu sana. Wakati Tundu Lissu aliyepewa jina la mbeba maono akichangisha pesa ya kuchukua fomu huko mitandaoni,nguli wa siasa zisizo umiza Lazaro Nyarundu anaelekea Mwanza...
  8. G

    GE2020 CHADEMA waendelea kuzichanga karata vyema

    Kama kawaida naendelea kupambanua hali ya mchuano na mtifuano mkali katika medani za siasa hasa katika kipindi hiki muhimu sana. Wakati Tundu Lissu aliyepewa jina la mbeba maono akichangisha pesa ya kuchukua fomu huko mitandaoni,nguli wa siasa zisizo umiza Lazaro Nyarundu anaelekea Mwanza...
  9. G

    Serikali ijayo itafuata " kikamilifu" itikadi ya Ujamaa na Kujitegemezi. Je, CCM kuna vijana wazalendo wa kumsaidia Rais Magufuli?

    Ujamaaa unaouzungumzia ni upi?huu wa kuwapa familia moja ubunge wa viti maalumu baba mama na mtoto au?
  10. G

    GE2020 CHADEMA karata wamezichanga vizuri

    Tatizo sio marekani tatizo ni sisi wenyewe mafisadi ni watanzania mambo ya simbioni na IPTL tusilaumu marekani
Back
Top Bottom