Habari wakuu , naombeni msaada wenu namtafuta rafiki yangu anaitwa Judicate Mushi nimepotezana nae siku nyingi na nimejaribu kupiga office aliyekuwa akifanya kazi wanasema hayupo hapo na hawajui alipo. Alikuwa akifanya kazi African liner Agency makutano ya barabara ya Samora na Morogoro hii...
wakuu natafuta hivi vitu nitavipata wapi yenye ubaora? Nimeangalia online nimeona hili duka linaitwa CTM liko nyerere road. Je vitu vyao imara hawa watu?
wakuu natafuta hivi vitu nitavipata wapi yenye ubaora? Nimeangalia online nimeona hili duka linaitwa CTM liko nyerere road. Je vitu vyao imara hawa watu?
Nami ninayo imepasuka kidogo sana nakuja 930000 rangi ya gold, nimemtumia miezi 2 tu Uk, Nakupa na cover yake, accessories mpya sijawahi kuzitumia. Atakaependa anipigie 0713 404014 niko dar
Sony Xperia T for sale from UK in excellent condition no scratch na iko complete na kila kitu chake. Sina picha at the moment kwa anaehitaji namba yangu 0713 404014 bei 420
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.