Kampuni ya Akm Glitters tunaomba mtulipe haki zetu wafanyakazi wenu.
Yapata miezi mi 5 na wengine miezi 8 hatuja lipwa mishahara yetu. Tume jaribu mara kwa mara kuomba huongozi taarifa juu ya swala hili ila huongozi upo kimya.
Baadhi ya wakuu wa kampun kutoa lugha za kajeri na dharau. Baadhi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.