Sawa tin ninayo lakini kupitia jina la kampuni yangu nipate leseni ya biashara inayoonyesha kampuni yangu inadeal vitu gani mfano kampuni yangu inaitwa MIALE UNIT company limited hapa haijataja na deal na vitu gani sasa nataka leseni inayotaja moja kwa moja nafanyaje barudi brela au?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.