Kwahiyo una sema Mungu Hana outcomes
Nimekwembia hivi Mungu yupo kwasababu kanitendea MIUJIZA hiyo ndo outcomes
Kwanini Una amini upepo upo?
Si kwasababu ya outcomes
Lakin kumbuka upepo hauinekani Wala haushikiki
Kama una amini outcomes za upepo kwann usiamini out comes za Mungu??
Sent from...
Yele yalee
Eti Mungu kachoka nioneshe sehemu ambayo Mungu Wana sema kachoka Soma Biblia vizur
Nenda kasome mwanzo 2:1-3
Alaf ujijibu mwenyewe
Maswali mingine ni ujinga tuu wakuto kusoma Bible
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Etii Mungu hayupooo kwasababu
1:uwepo wamabaya duniani
2:Dunia hipo hivi kwahiyo Mungu hayupo
Alaf kwasababu hizo mbili Kabisa unadiriki kumkufuru Mungu
Alaf una niambia Biblia umesoma yoteee
Wakati Biblia sehemu nyingi Sana inaelezea hata siku za mwisho zitakavyo kua jinsi mabaya yatakavyo...
All in all
Naomba utoe vigezo vyako ambavyo WEWE binafsi ukiviona utaamini Mungu yupo
Me nilisha kwambia vigezo vyangu vinavyofanya ni nasema Mungu yupo
In addition
Uwepo wa UCHAWI na USHIRIKINA
Tuu una Thibitisha Mungu yupoo
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Yani umesoma Biblia kinaga ubaga alafu una niuliza tena watu wanao enda mbinguni watu gan??
Sema ukwelii tu me mwenyewe nimesoma mwanzon mpaka ufunuo lakin naamini kwamba cjui kila kituu
Vp baadhi ambavyo sijavijua
Lakin cio vitu common kama hivyo
Sent from my itel L5007 using JamiiForums...
Shida yenu nyie watu nimoja
Inaonesha Biblia hamja soma kabisa
Kama mmesoma Basi juu juu tuuu na kwakutumia akilizenu huku mkiwa na nia yakuikosoa Biblia tuu
Kitu ulicho kiongea Ukikutana na Mkristo jina Ataamini atasema alaf kweli(Kuna mwalimu wetu ana penda Sana hiyo kauli yakoo)
Lakin...
Kumbe hata maana ya Roho ujui
Alaf una bishaa tuuu
Ilo swali la PILI Sasa
Ndo nazidi kujua kua unabisha usivyo vijua unavisikia tuuu
Yani Mtu Ana kwambia asali tamu
We unataka mtu akuelezee utamu wa asali una pewa ulambe hautakii
Haya zamu Yangu Sasa
Naomba uniaminishe kwanini Mungu...
Msicho kujua Mungu jamlazimishi Mtu kutenda jambo lolote lile
Lakin kwenye KUTOKA Kuna sehemu anasema Tazama nimekuekea mbeleyako njia mbili kulia na kushoto ...
Kwahiyo ni Kaz ya Mtu kuchagua jema au baya
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Mimi tangu niamze kusoma Biblia sehemu pekee ambayo Nimeona Mungu kajionesha sura yake ni KUTOKA 33:11
Wengine wote walikua wanasikia sauti ya MUNGU ila sio kumuona macho kwa macho
Sasa Mwenzangu ulie Soma bible ikasomeka niambie niwapi kati ya hao ulio wataja alimuona Mungu uso kwa uso...
Dhaa ila nyie watuu....
Nahisi Mana ya MUNGU itakua sijui mlielewaje
MUNGU ni nani Kwanza ??
Maana unauliza maswali kama mtu ambaye sijui nisemaje
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Mwana Damu pekee aliye fanikiwa kumuona Mungu uso kwa uso ni MUSA pekee
Namwenginevatakaye muona atakufaa hata ishiii
Soma KUTOKA 33 yote hasa mstar wa 11 na 20
Najua mistari hiyo hauta weza kuielewa kwasababu una jaribu kusoma Biblia kama Phyisics
Maana:
Kumuona Mungu uso kwa uso maana yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.