Recent content by goa fk

  1. G

    JamiiForums Tanzania Natafuta mtu wa kufanya naye partnership kuzalisha mazao hususan ufuta

    Mm mi kijana miaka 30. Nimesomea kilimo na nimkulima pia. Naomba kama kuna mtu ana mashamba hususan ukanda wa pwani kwa ajili aya kilimo na ufugaji, tufanye partnership kwenye uzalishaji wa mazao hususan ufuta.
Back
Top Bottom