ngojea kwanza nicheke Leo nimecopy code zote za huku lakini mikeka imechanika karibia yote . yaani Leo kanji kwake ndio anasema mikeka ndio imetiki. ila hata km nimekuwa ndoige zakutosha lakini sijakata tamaa. pingine hii ya mwisho na hiyo iliyobaki ndio itatusua
Sent from my CPH2095 using...
Kuna SGR yangu ilikua inaendelea vizuri ila Leo imedondoshwa na Newcastle kizembe sana najua kukataa Ile sauti iliyokiwa inaniambia ni cash out
Sent from my CPH2095 using JamiiForums mobile app
hawa betway sitaki hata kuwasikia niliweka vimkeka nikashinda mpaka 130,000/= na hiyo pesa ikawa haitoki japokuwa ipo Kwenye account yangu ila ukibeti inafaa na ukishinda inaendelea kuongezeka ila kutoa ss ndio haitoki. Niliwatafutabila wakawa wansema haifai Kwa sababu Kuna Ile nilideposit alafu...
Ile ya machupa vipi? mm nikijaribu nikafanya vizuri ila nilivyokua naongeza dau nikawa nachezea ndoige za kutosha
Sent from my CPH2095 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.