Wakenya na waganda hawana lolote,nimesoma nao na tuliokuwa tunafanya vizuri darasani ni watanzania wao tulikuwa tunaawaacha mbali sana kitaaluma.So tusiwaogope cha muhimu tunatakiwa tuongeze tu confidence kwa chochote tunachokifanya never give up in this world na kamwe tusiseme hatuwezi.
Ni labour exploitation tu ya taasisi na mashirika yetu ya hapa bongo,I think wanaona wenye miaka michache hawana experience kubwa so they will not need too much salary na hawana familia kubwa.ukiangalia job adverts za organizations nyingi za nje hawaangalii umri wao wanaangalia yo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.