Teknolojia ya nano, kwa upande mwingine, inahusu uhandisi na upangaji wa vifaa kwa kiwango cha atomiki na molekuli, kwa kawaida kati ya nanomita 1 hadi 100.
Utafiti huu unajumuisha maendeleo ya vifaa vipya vyenye sifa na matumizi ya kipekee, kama vile nguvu bora, uthabiti, na upinzani zaidi...
Barabara zinazotumia nano technology. Ni Technologia inayounganisha udongo wa mahalo husika na kuufanya ngumu kama mwamba Misha kumimina asphalt juu kama lami.
Barabara za Nanotechnology zimeanza kutumiwa na nchi nyingi;
1. Inachukua muda mfupi kujenga.
2. Ni environmental friendly (inaweza kujengwa hata Serengeti na mbuga zetu zote).
3. Naamini wataalamu wetu kama Ibra Construction wanazimudu. Maida Waziri alionekana South Africa akizionyesha kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.