Sidhani kama ulielewa mada au umekuja kuandika haraka haraka baada ya kuona jina la TL . Chuki ndio imefikisha siasa zetu hapa tulipo . Jadili hoja jamvini
Haya ni Maoni yako ndugu. Na me nayaacha kama yalivyo. Pia ni tabia ya watu wengi humu ku under estimate mawazo ya watu ama kudharau watu ambao mawazo yao hayajawapendeza.
Ndugu zangu Watanzani, leo nimekuwa na tafakuri ndefu sana kuhusu nchi yangu, wakati nafsi ikielekea kulalamika juu ya hali halisi ya maisha yaliyopo mtaani, nikiwa kwenye chumba changu mwenyewe chenye utulivu mno , wakati nikiendelea kufikiria ni namna gani naweza kupigana na changamoto nyingi...
Act ni waroho wa madaraka kama kc wao. Wameamua kunywa juice ya bariiidi kupitia damu za watu. Alafu wanavyomfagilia huyo Maalim Seif kama vile sio mtu/sio binadamu wa kawaida. Kwa taarifa yenu huyo ndio mwenye tamaa sana. Kutoshiriki SUK 2015/2020 inamuuma sana.
Inshort, hakuna maslahi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.