Recent content by Girita shabani issa

  1. Girita shabani issa

    JamiiForums Tanzania SoC03 Kutokuwajibika kwa viongozi Ngazi ya Kata

    Uwajibikaji wa viongozi ngazi ya kata ni suala ya kuzingatiwa hasa kwa watu waliopewa mamlaka ya kuongoza bila kubagua dini au itikadi ya vyama.Viongozi kutokuwajibika katika utozaji wa tozo ndogo ndogo katika kata kama vile Ulipiaji taka hii ni mojawapo ya changamoto inayonikumba mimi binafsi...
  2. Girita shabani issa

    JamiiForums Tanzania SoC03 Taarifa kuwa Watanzania wanaotumia nishati ya umeme nchini ni million 4.4 kati ya million 60 sio kweli

    Akizungumza Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania [ TANESCO ] Ndg. Maharage Chande, amesema kukamilishwa kwa Bwawa la Nyerere [ JNHPP ] hakutapunguza gharama ya umeme nchini kwa sababu Shirika litashindwa kujiendesha. Amesema, mpaka sasa wateja wahudumiwao na [ TANESCO ] ni Milioni 4.4...
  3. Girita shabani issa

    JamiiForums Tanzania SoC03 Njia bora ya kuepukana na mikataba mibovu (Tanzania)

    sali sana ..ufanyemoyowako usiwe moyo wa matamanio
  4. Girita shabani issa

    JamiiForums Tanzania SoC03 Njia bora ya kuepukana na mikataba mibovu (Tanzania)

    Mkataba ni maridhiano baina ya watu wawili au zaidi,serikali kwa serikali,kampuni kwa kampuni au serikali na kampuni.Mikataba nayo husaidia kuinua uchumi wa nchi au kampuni inapokuwa na manufaa kwa nchi husika au kampuni.Pia huweza kusababisha hasara inapokua haina manufaa. mikataba mibovu ni...
  5. Girita shabani issa

    JamiiForums Tanzania SoC02 Changamoto ya Uwajibikaji wa Viongozi Ngazi ya Kata

    Uwajibikaji wa viongozi ngazi ya kata ni suala ya kuzingatiwa hasa kwa watu waliopewa mamlaka ya kuongoza bila kubagua dini au itikadi ya vyama.Viongozi kutokuwajibika katika utozaji wa tozo ndogo ndogo katika kata kama vile Ulipiaji taka hii ni mojawapo ya changamoto inayonikumba mimi binafsi...
  6. Girita shabani issa

    JamiiForums Tanzania Soma hapa kabla ya kuchapisha andiko lako katika Jukwaa la Stories of Change

    jinsi ya kutuma hlo chapisho kwangu ndo changamoto
Back
Top Bottom