Recent content by GINHU

  1. G

    JamiiForums Tanzania Je ni halali kwa Baraza la Mawaziri kutangazwa na Katibu Mkuu Kiongozi?

    Ndg Macritical Thinkers salamu.... Nimepatwa na maswali mengi sana kuhusu tukio la jana la Cabinet ya Kikwete kutangazwa na Katibu Mkuu kiongozi huku Mhe. Rais nikimwona akipokea Kifimbo cha Malkia wa Uingereza. Je hii imekaaje? Maswali yenyewe ni, je; 1. Rais aliona kupokea kifimbo ni muhimu...
  2. G

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti wa CHADEMA Temeke Joseph Yona, apigwa na kuumizwa vibaya!

    Taarifa za hivi punde ni kuwa m/kt wa CHADEMA wilaya ya Temeke atekwa na kukutwa ametupwa maeneo ya ununio akiwa hoi bin taabani. Watekaji walijitambulisha kuwa ni maafisa wa jeshi la polisi, walimfunga kamba na kitambaa machoni wakaondoka naye kusikojulikana. Source: Wapo radio fm.
  3. G

    JamiiForums Tanzania Benki Kuu yatoa sarafu yenye thamani ya shilingi 50,000 kuenzi Mapinduzi ya Zanzibar!

    Iweje yes kwa Zanzibar and No kwa Tanganyika ilipotimiza miaka 50? miaka 50 ya mapinduzi ya Zanzibar ni bora kuliko miaka 50 ya Tanganyika? Mbona hatukuona sarafu km hizi? huu nao ni wizi km wizi mwingine km RICHMOND.,
  4. G

    JamiiForums Tanzania Dr Slaa alakiwa Buhingwe-Kigoma kwa Shangwe Kubwa

    Hongera sana Dr. hakuna kurudi nyuma. Wasioitakia meme chadema watashindwa.
  5. G

    JamiiForums Tanzania Mtela Mwampamba,Habib Mchange na Nyakarungu waratibu mkutano wa waandishi wa Habari Serena Hotel

    mmmh! So unataka kutuambia ZZK na KM ni CDM mchana lakini usiku ni CCM?
  6. G

    JamiiForums Tanzania Hizi bendera za CCM barabarani za nini wakati wa ziara za kiserikali za viongozi?

    Wanabodi salamu, Jana nilikuwa maeneo ya kibaha nikashangaa kuona barabarani kumetundikwa bendera za CCM kuelekea kwenye kiwanda cha kuzalisha dawa za kuulia viruwiruwi vya mbu wa malaria. Kuuliza wenyeji wakasema Rais Kikwete atakuwa na ziara ya kiserikali kiwandani hapo. Nikawauliza tena, km...
  7. G

    JamiiForums Tanzania Freeman Mbowe akitema mayai kwenye kikao cha conservative nchini Dernmark

    hongera kamanda wape ukweli hao wafadhili wa serikali ya mafisadi ili waone km misaada yao inasaidia watz ama mafisadi wachache? wakiona ibafaa wakate kabisa misaada yao!
  8. G

    JamiiForums Tanzania Naibu Waziri Tizeba atishia kumuua Kaka yake, Kisa tofauti za Kisiasa

    Duuuh! kwa kweli hz siasa sasa zimefikia pabaya.
  9. G

    JamiiForums Tanzania SOMA: Karata muhimu kwa CCM kujibakiza madarakani au Kuiachia nchi MAPIGANO

    Ndugu Makunguru, ulicho kinena ni sahihi kabisa. siku zote CCM na washirika wake wamekuwa wakitumia karata hii ya udini katika vyama vingine ili kuviua kisiasa. Walifanikiwa kwa NCCR na CUF lakini kwa CDM naona watagonga mwamba. Unajua ukianza na MUNGU utamaliza na MUNGU pia. Wenzetu wanaanza na...
  10. G

    JamiiForums Tanzania SOMA: Karata muhimu kwa CCM kujibakiza madarakani au Kuiachia nchi MAPIGANO

    Ndugu Makunguru, ulicho kinena ni sahihi kabisa. siku zote CCM na washirika wake wamekuwa wakitumia karata hii ya udini katika vyama vingine ili kuviua kisiasa. Walifanikiwa kwa NCCR na CUF lakini kwa CDM naona watagonga mwamba. Unajua ukianza na MUNGU utamaliza na MUNGU pia. Wenzetu wanaanza na...
  11. G

    JamiiForums Tanzania Mbowe sasa avuka mipaka, afanya matumizi ya gari la serikali kwa shughuli za CHADEMA

    Hoja ya ajabu kabisa, toa kibanzi jichoni mwako ndo umtolee boriti jirani yako.
  12. G

    JamiiForums Tanzania Hoja za Mwalimu Nyerere kupinga serikali tatu Tanzania

    Siyo kila kitu alichokisema ni sahihi! pengine kilikuwa ni sahihi kwa wakati ule. ndo maana hata yeye aliwashangaa viongozi wa CCM kwa kusema, katika awamu yake kuna mazuri na mabaya yaliyofanyika, lakini akashangaa na kuwaona viongozi wa CCM ni kituko kwa kuacha mazuri na kuchukua mabaya. so...
  13. G

    JamiiForums Tanzania Serikali Tatu: Ni mfano wa kutoka nchi gani duniani?

    Unauliza serikali tatu, mbona haujajiuliza kuhusu serikali mbili zilitoka wapi?
  14. G

    JamiiForums Tanzania Tumpuuze Mwigulu Nchemba na Mwenyekiti Wake(Picha), Tuimarishe haraka Red Brigade

    mmmh! kwa kweli kuendelea kutawaliwa na CCM, tutakwesha!
Back
Top Bottom