Recent content by Gift mzalendo

  1. G

    Kama Israel imeweza kushawishi mataifa makubwa Duniani kuwa upande wao naona wana akili kubwa sana

    Ndio Ayatollah amejiweka mwenyewe kwenye hiyo nafasi ambayo haigombewi na MTU yeyote Aite uchaguzi HURU na haki kwenye hiyo nafasi tuone
  2. G

    Kama Israel imeweza kushawishi mataifa makubwa Duniani kuwa upande wao naona wana akili kubwa sana

    China bado ana safari ndefu Uongozi sio Gdp pekee INGAwa inawezekana kuchukua
  3. G

    Kama Israel imeweza kushawishi mataifa makubwa Duniani kuwa upande wao naona wana akili kubwa sana

    Naona umehama mada Ukawa interested na Mungu wa Israel Ok labda nikueleweshe Kwa asili makabila yote Tanzania na pengine Africa yalikuwa na Miungu yao asili Fuatilia historia utajua Lakini pia hata wazungu kabla ya Injili ya kufika kwao kupitia kwa mtume Paulo walikuwa na Miungu yao pia...
  4. G

    Kama Israel imeweza kushawishi mataifa makubwa Duniani kuwa upande wao naona wana akili kubwa sana

    Wairan hawana shaida na Israel Utawala wa Ayatollah ndo umeaapa kuifuta Israel kwenye ramani Kuna wairan wanatamani utawala wa Ayatollah uanguke hata leo
  5. G

    Kama Israel imeweza kushawishi mataifa makubwa Duniani kuwa upande wao naona wana akili kubwa sana

    Ndyo Mungu wa Israel Hana upendeleo Chamsingi umwamini na ufuate Neno lake
  6. G

    Kama Israel imeweza kushawishi mataifa makubwa Duniani kuwa upande wao naona wana akili kubwa sana

    Ushoga Hauna dini Wala kabila Kwa Sasa Kila dini Ina mashoga Kila nchi Ina mashoga Hata Tz wapo pia Na ni dhambi ilikuwepo miaka na miaka
  7. G

    Kama Israel imeweza kushawishi mataifa makubwa Duniani kuwa upande wao naona wana akili kubwa sana

    Kabisa Mungu wa Ibrahimu Isaka na Israel Ambaye ndiye aliishinda miungu ya Misri (uchawi) mpaka Leo ana uwezo juu yake Kwanini niabudu niabudu miungu iliyoshindwa
  8. G

    Kama Israel imeweza kushawishi mataifa makubwa Duniani kuwa upande wao naona wana akili kubwa sana

    Simu uliyotumiwa kujibu hii mada unajua ni tech ya nani Au unadhani ni uchawi wa kizungu
  9. G

    Kama Israel imeweza kushawishi mataifa makubwa Duniani kuwa upande wao naona wana akili kubwa sana

    Watu weusi tangu kale tumeamudu miungu sio Mungu Na tunaona tangu Misri ya kale miungu ya waafrika ambayo ni uchawi ikishindana na Mungu ambaye aliamua kuwatetea wa Israel Na ligi yake haikuwa ya kawaida MWISHO wa siku Mungu akashinda miungu ya waafrika Hivyo akajita kuwa Mungu wa Israel...
  10. G

    Kama Israel imeweza kushawishi mataifa makubwa Duniani kuwa upande wao naona wana akili kubwa sana

    Hamna Goli linahamishwa mkuu Ningekuwa mshauri wa Iran ningewasihi sana wasishambulie Israel kwa usalama wa utawala Ayatollah Lakini wameshajiingiza kwenye mtego wenyewe wasubiri tu kisasi Cha Israel
  11. G

    Kama Israel imeweza kushawishi mataifa makubwa Duniani kuwa upande wao naona wana akili kubwa sana

    Wakuu naona watu wengi wanalalamika Israel kusaidiwa na mataifa makubwa hivyo kwa upande wangu naona tofauti Kwanza ndege wanaofana wanaruka pamoja Kama tunavyoona nchi zenye race Fulani zinaweza kusaidiana Au nchi zenye mrengo wa dini Fulani zikisaidiana Pia matajiri kwa matajiri husaidiana...
  12. G

    Mfanyabiashara bilionea Dar es Salaam, adai kutishiwa maisha, akimbia kwa pikipiki kutoroka asiuawe hadi Arusha

    Ishu ni mkataba unasemaje ? Hata Kama ni million moja Mkataba uzingatiwe Naona wengi mnachangia kihisia tu bila kutumia akili au kuangalia haki iko wapi
  13. G

    Jiji la Arusha lamkana Mfanyabiashara Chambulo wadai 'amepotosha'

    Hongera wewe unafahamu na Haya mambo Wengine wanachangia kihisia tu
Back
Top Bottom