Kutetea haki za watu Haina dini kama vile kukemea maovu hayana dini
Kila mtu awe na dini awe kafiri mpagani anataka haki vile vile
Hakuna mtu anayependa maovu hata awe mpagani asiye na dini hapendi kitendewa uovu
MANABII wengi hawakuwa na dini Bali ujumbe MAALUMU KWA nchi na watawala
Kwanza wameonyesha UNYENYEKEVU kama WATUMISHI wa Mungu Kwa watawala kuwatafuta Ili kuwaambia ukweli
Tangu zamani kazi ya makuhuni na MANABII ilikuwa ni kuonya watawala walipokuwa wanakosea njia
Baada ya kuonya kazi Yao inaishia pale wanasubiri maamuzi ya watawala.
Baada ya hapo wanaotegemea...
#UPDATES_KESI_YA_UHAINI
Part 241
Mhe. Lissu anaendelea kumdodosa Shahidi wa kificho wa Jamhuri.
Mhe Lissu: Ulisema mlikuwa na Camera ya Sony NX, Kweli si kweli ?
Shahidi wa kificho P: Kweli
Mhe Lissu: Kwenye kielelezo mlikuwa na camera tatu, sasa kuna mashahidi wamekuja hapa Mahakamani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.