Rais ana kinga kutokushitakiwa sio kuwa shahidi
Hawa wengine Hawana kinga yoyote ya kishtakiwa wala kutoa ushahidi
Waje TU kama ni kunyongwa anyongwe kihalali
Rule of law inasema no one above the law.
Naamini nchi yetu inaendeshwa Kwa mujibu wa Sheria sio mtu mmoja ajikurupia TU kutaka kupindua serikali
Nashauri mashahidi hao watatu wakatiwe rufaa Ili wake wathinishe uhaini kama ni mtu kunyongwa anyongwe Kwa haki.
Tutakuwa hutajamtendea haki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.