UN Haina hoja za maana za kujadili
Hadi ijadili biashara ya utumwa iliyokomeshwa Marekani zaidi ya miaka mia iliyopita
Ukiwa mtumwa LAZIMA ubaki na fikra za kitumwa
Utawala mwovu ni ule unaoua raia wao wenyewe Kwa maelfu kisa kukosoa utawala
Ushasikia Israel au marekani Raia wao wenyewe wanauwa maelfu kisa kukosoa au kuandamana ??
Ndo maana Kuna watu wanatamani hata yule wa Malawi naye akamatwe maana ana tabia hizo hizo za kuwaua raia wao kwenye maandamano
UNachosha nilifikiri una uwezo wa kuelewa hoja nilizokupa
Uhuru wa watu kujiamulia mambo Yao ni muhimu kuliko dikteta mmoja kuhodhi Kila kitu na kugawa anavyotaka yeye kama mali yake binafsi
Marekani anafanya biashara ya kununua mafuta sio KUIBA mafuta kama mnavyokaririshana huko vijiweni
Haiwezekani ugombane na majirani zako wote Tena wenye itikadi Moja na wewe
LAZIMA wewe unyo matatizo , na ni kweli Iran ana matatizo makubwa na Israel na Marekani ndo kiboko Chao Cha kuwasaidia wananchi wa Iran
Kuna watu wanatamani hata yule wa Malawi atekwe Kwa sababu ya mauji ya halaiki yaliyofanyika oct 29
Tuipingeze Marekani Kwa kuwashughukikia watawala wa Ovyo
Unafikiri fupi kama za kuku
LAZIMA ujiulize Kwa Nini huyo jirani yako akubali kumkaribisha adui yako
Haiwezekani ugombane na majirani zako wote wewe ndo utakuwa na matatizo
Usiwe na logic ya kuku anayefekiria kula sasa hivi tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.