Naona umehama mada
Ukawa interested na Mungu wa Israel
Ok labda nikueleweshe
Kwa asili makabila yote Tanzania na pengine Africa yalikuwa na Miungu yao asili
Fuatilia historia utajua
Lakini pia hata wazungu kabla ya Injili ya kufika kwao kupitia kwa mtume Paulo walikuwa na Miungu yao pia...
Wairan hawana shaida na Israel
Utawala wa Ayatollah ndo umeaapa kuifuta Israel kwenye ramani
Kuna wairan wanatamani utawala wa Ayatollah uanguke hata leo
Kabisa
Mungu wa Ibrahimu Isaka na Israel
Ambaye ndiye aliishinda miungu ya Misri (uchawi) mpaka Leo ana uwezo juu yake
Kwanini niabudu niabudu miungu iliyoshindwa
Watu weusi tangu kale tumeamudu miungu sio Mungu
Na tunaona tangu Misri ya kale miungu ya waafrika ambayo ni uchawi ikishindana na Mungu ambaye aliamua kuwatetea wa Israel
Na ligi yake haikuwa ya kawaida
MWISHO wa siku Mungu akashinda miungu ya waafrika
Hivyo akajita kuwa Mungu wa Israel...
Hamna Goli linahamishwa mkuu
Ningekuwa mshauri wa Iran ningewasihi sana wasishambulie Israel kwa usalama wa utawala Ayatollah
Lakini wameshajiingiza kwenye mtego wenyewe wasubiri tu kisasi Cha Israel
Wakuu naona watu wengi wanalalamika Israel kusaidiwa na mataifa makubwa hivyo kwa upande wangu naona tofauti
Kwanza ndege wanaofana wanaruka pamoja
Kama tunavyoona nchi zenye race Fulani zinaweza kusaidiana
Au nchi zenye mrengo wa dini Fulani zikisaidiana
Pia matajiri kwa matajiri husaidiana...
Ishu ni mkataba unasemaje ?
Hata Kama ni million moja
Mkataba uzingatiwe
Naona wengi mnachangia kihisia tu bila kutumia akili au kuangalia haki iko wapi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.