Recent content by Gift mzalendo

  1. G

    JamiiForums Tanzania Baada ya CDF IGP DCI Kuwasilisha ushahidi wao mahakamani Tundu Lisu akate rufaa ya kuomba PM VP na Mh Rais Kuja mahakamani kosa la uhaini ni zito

    Kabisa mkuu haki hapo ni changamoto Nashauri lisu akate rufaa apate haki yake ya kuwadodosa mashahidi wake wote before judgement
  2. G

    JamiiForums Tanzania Baada ya CDF IGP DCI Kuwasilisha ushahidi wao mahakamani Tundu Lisu akate rufaa ya kuomba PM VP na Mh Rais Kuja mahakamani kosa la uhaini ni zito

    Ni kweli mkuu Ndo maana nashauri mahakama isiwakingie kifua mashahidi Lisu akate rufaa mashahidi wake wote wafike kizimbani
  3. G

    JamiiForums Tanzania Baada ya CDF IGP DCI Kuwasilisha ushahidi wao mahakamani Tundu Lisu akate rufaa ya kuomba PM VP na Mh Rais Kuja mahakamani kosa la uhaini ni zito

    Waonyeshe Dunia Tanzania inafuata rule of law kwenye hii kesi
  4. G

    JamiiForums Tanzania Baada ya CDF IGP DCI Kuwasilisha ushahidi wao mahakamani Tundu Lisu akate rufaa ya kuomba PM VP na Mh Rais Kuja mahakamani kosa la uhaini ni zito

    Ni vizuri kuonyesha Dunia Tanzania ni nchi inayofuata rule of law
  5. G

    JamiiForums Tanzania Baada ya CDF IGP DCI Kuwasilisha ushahidi wao mahakamani Tundu Lisu akate rufaa ya kuomba PM VP na Mh Rais Kuja mahakamani kosa la uhaini ni zito

    Rais ana kinga kutokushitakiwa sio kuwa shahidi Hawa wengine Hawana kinga yoyote ya kishtakiwa wala kutoa ushahidi Waje TU kama ni kunyongwa anyongwe kihalali
  6. G

    JamiiForums Tanzania Baada ya CDF IGP DCI Kuwasilisha ushahidi wao mahakamani Tundu Lisu akate rufaa ya kuomba PM VP na Mh Rais Kuja mahakamani kosa la uhaini ni zito

    Rule of law inasema no one above the law. Naamini nchi yetu inaendeshwa Kwa mujibu wa Sheria sio mtu mmoja ajikurupia TU kutaka kupindua serikali Nashauri mashahidi hao watatu wakatiwe rufaa Ili wake wathinishe uhaini kama ni mtu kunyongwa anyongwe Kwa haki. Tutakuwa hutajamtendea haki...
Back
Top Bottom