Recent content by Gift mzalendo

  1. G

    JamiiForums Tanzania Kwa maoni yangu naona lengo la TEC ni kunawa mikono kwamba tulionya kabla na tumeonya baada Kwa wazi Kwa Siri damu iwe juu vichwa vyenu wenyewe

    Naona umezaliwa awamu ya SITA Fuatilia historia ya TEC kwenye tawala zote hawajawahi kufumbia uovu
  2. G

    JamiiForums Tanzania Kwa maoni yangu naona lengo la TEC ni kunawa mikono kwamba tulionya kabla na tumeonya baada Kwa wazi Kwa Siri damu iwe juu vichwa vyenu wenyewe

    Wewe ndo umejifungia ndani hufuatilii Ulimsikia Papa akimuonya Triumph au ulikuwa hujazaliwa
  3. G

    JamiiForums Tanzania Kwa maoni yangu naona lengo la TEC ni kunawa mikono kwamba tulionya kabla na tumeonya baada Kwa wazi Kwa Siri damu iwe juu vichwa vyenu wenyewe

    Pamoja mkuu Kila mmoja asimame kwenye nafasi yake kukusaidia taifa na nchi yetu tuipendayo sana
  4. G

    JamiiForums Tanzania Kwa maoni yangu naona lengo la TEC ni kunawa mikono kwamba tulionya kabla na tumeonya baada Kwa wazi Kwa Siri damu iwe juu vichwa vyenu wenyewe

    TEC Wana historia ya kukemea watawala wengi Waovu na ndo WITO wao
  5. G

    JamiiForums Tanzania Kwa maoni yangu naona lengo la TEC ni kunawa mikono kwamba tulionya kabla na tumeonya baada Kwa wazi Kwa Siri damu iwe juu vichwa vyenu wenyewe

    Kutetea haki za watu Haina dini kama vile kukemea maovu hayana dini Kila mtu awe na dini awe kafiri mpagani anataka haki vile vile Hakuna mtu anayependa maovu hata awe mpagani asiye na dini hapendi kitendewa uovu MANABII wengi hawakuwa na dini Bali ujumbe MAALUMU KWA nchi na watawala
  6. G

    JamiiForums Tanzania Kwa maoni yangu naona lengo la TEC ni kunawa mikono kwamba tulionya kabla na tumeonya baada Kwa wazi Kwa Siri damu iwe juu vichwa vyenu wenyewe

    Ukitaka kujua Page 4 za TEC zilikuwa zimebeba Nini fuatilia hotuba za watawala baada ya kikao kile
  7. G

    JamiiForums Tanzania Mwenda Tezi na Omo marejeo Ngamani-TEC Wameelewa,Bado nani Hajaelewa?

    https://www.jamiiforums.com/threads/kwa-maoni-yangu-naona-lengo-la-tec-ni-kunawa-mikono-kwamba-tulionya-kabla-na-tumeonya-baada-kwa-wazi-kwa-siri-damu-iwe-juu-vichwa-vyenu-wenyewe.2462733
  8. G

    JamiiForums Tanzania Kwa maoni yangu naona lengo la TEC ni kunawa mikono kwamba tulionya kabla na tumeonya baada Kwa wazi Kwa Siri damu iwe juu vichwa vyenu wenyewe

    Kwanza wameonyesha UNYENYEKEVU kama WATUMISHI wa Mungu Kwa watawala kuwatafuta Ili kuwaambia ukweli Tangu zamani kazi ya makuhuni na MANABII ilikuwa ni kuonya watawala walipokuwa wanakosea njia Baada ya kuonya kazi Yao inaishia pale wanasubiri maamuzi ya watawala. Baada ya hapo wanaotegemea...
  9. G

    JamiiForums Tanzania UPDATE kesi ya Lisu inampa umaarufu zaidi na kuonyesha udhaifu mkubwa wa mihimili yetu wakiwemo WATUMISHI wengi vilaza turudi TU kwenye maridhiano

    #UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part 241 Mhe. Lissu anaendelea kumdodosa Shahidi wa kificho wa Jamhuri. Mhe Lissu: Ulisema mlikuwa na Camera ya Sony NX, Kweli si kweli ? Shahidi wa kificho P: Kweli Mhe Lissu: Kwenye kielelezo mlikuwa na camera tatu, sasa kuna mashahidi wamekuja hapa Mahakamani...
Back
Top Bottom