Recent content by Gift mzalendo

  1. G

    UN yapitisha azimio la kutambua utumwa wa Waafrika kama uhalifu dhidi ya binadamu. Israel, Marekani na Argentina zapinga

    UN Haina hoja za maana za kujadili Hadi ijadili biashara ya utumwa iliyokomeshwa Marekani zaidi ya miaka mia iliyopita Ukiwa mtumwa LAZIMA ubaki na fikra za kitumwa
  2. G

    Ulaya imeamini sasa Israel alikuwa sahihi baada ya Iran Kurusha kombora lenye uwezo wa kupiga nchi za ulaya km 4000 ni kosa kubwa la Iran kimkakati

    Nashukuru Kwa takwimu zako za mchongo maana hata hujaweka source Ila rudia Tena uelewe hoja yangu mkuu 🙏
  3. G

    Ulaya imeamini sasa Israel alikuwa sahihi baada ya Iran Kurusha kombora lenye uwezo wa kupiga nchi za ulaya km 4000 ni kosa kubwa la Iran kimkakati

    Utawala mwovu ni ule unaoua raia wao wenyewe Kwa maelfu kisa kukosoa utawala Ushasikia Israel au marekani Raia wao wenyewe wanauwa maelfu kisa kukosoa au kuandamana ?? Ndo maana Kuna watu wanatamani hata yule wa Malawi naye akamatwe maana ana tabia hizo hizo za kuwaua raia wao kwenye maandamano
  4. G

    Ulaya imeamini sasa Israel alikuwa sahihi baada ya Iran Kurusha kombora lenye uwezo wa kupiga nchi za ulaya km 4000 ni kosa kubwa la Iran kimkakati

    Alivyoishambulia Saudi Arabia na Qatar Dubai Kuna kombora lolote lilikuwa limerushwa kutoka hizo nchi
  5. G

    Ulaya imeamini sasa Israel alikuwa sahihi baada ya Iran Kurusha kombora lenye uwezo wa kupiga nchi za ulaya km 4000 ni kosa kubwa la Iran kimkakati

    Kwa hiyo na sisi tukiwa na makubaliano ya kijeshi na Marekani Iran itashambuliwa pia ??
  6. G

    Ulaya imeamini sasa Israel alikuwa sahihi baada ya Iran Kurusha kombora lenye uwezo wa kupiga nchi za ulaya km 4000 ni kosa kubwa la Iran kimkakati

    UNachosha nilifikiri una uwezo wa kuelewa hoja nilizokupa Uhuru wa watu kujiamulia mambo Yao ni muhimu kuliko dikteta mmoja kuhodhi Kila kitu na kugawa anavyotaka yeye kama mali yake binafsi Marekani anafanya biashara ya kununua mafuta sio KUIBA mafuta kama mnavyokaririshana huko vijiweni
  7. G

    Ulaya imeamini sasa Israel alikuwa sahihi baada ya Iran Kurusha kombora lenye uwezo wa kupiga nchi za ulaya km 4000 ni kosa kubwa la Iran kimkakati

    Haiwezekani ugombane na majirani zako wote Tena wenye itikadi Moja na wewe LAZIMA wewe unyo matatizo , na ni kweli Iran ana matatizo makubwa na Israel na Marekani ndo kiboko Chao Cha kuwasaidia wananchi wa Iran
  8. G

    Ulaya imeamini sasa Israel alikuwa sahihi baada ya Iran Kurusha kombora lenye uwezo wa kupiga nchi za ulaya km 4000 ni kosa kubwa la Iran kimkakati

    SOma hoja ya mada iliyopo mezani uelewe mkuu Hayo mambo ya kuchambana waachie wanawake wa kiswahili wavaa vijora
  9. G

    Ulaya imeamini sasa Israel alikuwa sahihi baada ya Iran Kurusha kombora lenye uwezo wa kupiga nchi za ulaya km 4000 ni kosa kubwa la Iran kimkakati

    Ndo maana nasema Iran anafanya maamuzi kama kichaa Unatengenezaje MAZINGIRA ya kushambuliwa zaidi
  10. G

    Ulaya imeamini sasa Israel alikuwa sahihi baada ya Iran Kurusha kombora lenye uwezo wa kupiga nchi za ulaya km 4000 ni kosa kubwa la Iran kimkakati

    Kuna watu wanatamani hata yule wa Malawi atekwe Kwa sababu ya mauji ya halaiki yaliyofanyika oct 29 Tuipingeze Marekani Kwa kuwashughukikia watawala wa Ovyo
  11. G

    Ulaya imeamini sasa Israel alikuwa sahihi baada ya Iran Kurusha kombora lenye uwezo wa kupiga nchi za ulaya km 4000 ni kosa kubwa la Iran kimkakati

    Ukiona unagombana na majirani zako wote wewe ndo mwenye matatizo Ndo maana nchi zenye akili haziwezi kukubali kichaa amiliki nuclear
  12. G

    Ulaya imeamini sasa Israel alikuwa sahihi baada ya Iran Kurusha kombora lenye uwezo wa kupiga nchi za ulaya km 4000 ni kosa kubwa la Iran kimkakati

    Unafikiri fupi kama za kuku LAZIMA ujiulize Kwa Nini huyo jirani yako akubali kumkaribisha adui yako Haiwezekani ugombane na majirani zako wote wewe ndo utakuwa na matatizo Usiwe na logic ya kuku anayefekiria kula sasa hivi tu
Back
Top Bottom