Kafulila kweli sina shida naye na mawazo yake huwa nayakubali,udhaifu wake ni kwamba hana uwezo wa kusimamia maamuzi yake yeye mwenyewe labda sasa chdm wamjengee uwezo huo ila natoa precoution kwa chadema kuwa makini kwani kwa sasa CCM wako strategically kuidhoofisha chadema na adui wa kukua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.