Habari,
Ningependa kwa anaetambua mtu anaweza akakaa na virusi vya ukimwi kwa muda gani kabla ya kujidhihilisha kama hajapimaa?
Dalili ipi kubwa atakuwa nayo ambayo inaonyesha wazi ana Upungufu wa kinga mwilini UKIMWI?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.