Recent content by GHITUNANIA UMUYA

  1. G

    Waliopata mikopo HESLB 2014/15

    Usijari mkuu tuwe na subira, kufikia hiyo tarehe 15 issue itajipa tu
  2. G

    Post Graduate Diploma v/s Bachelor Degree

    Ahsante sana Jabulani, mluzi wako upo sahihi. Miluzi mingine inawapoteza majib....!
  3. G

    Nataka kurekebisha taarifa zangu TCU

    Ucpanic tulia mambo yatajipa tu, au una mashaka na hujiamini?Angalia usije ukajikaanga kwa kiwese chako mwenyewe.
  4. G

    TCU wameongeza muda wa ku-apply chuo?

    Umeongea jambo la maana sana mkuu, mwenye timamu amekusoma vizuri.
  5. G

    Majibu ya TCU bado hayajatoka?

    Umekidhi angalau vigezo vinavyotakiwa
  6. G

    Nimemaliza form 6 mwaka 2008, Je! naweza kupata mkopo wa chuo?

    Kumbe!! baadhi ya Watanzania wana sirika za majungu instead of discussing issues that leads to tangible development. Wenzetu wakenya wapo juu kwa kila jambo ikiwemo ustaraabu. Kumbe!! ndio maana hata bunge la katiba limejaa watu wa aina hii ambao hawajari mustakabari wa nchi yetu. Naendelea...
  7. G

    Nimemaliza form 6 mwaka 2008, Je! naweza kupata mkopo wa chuo?

    Kama una nia niashauri, don't comment on minor things.
  8. G

    Nimemaliza form 6 mwaka 2008, Je! naweza kupata mkopo wa chuo?

    Samahani mkuu, nimetumia touch pad ikaleta error
  9. G

    Nimemaliza form 6 mwaka 2008, Je! naweza kupata mkopo wa chuo?

    I completed my form six education in 2008 and decided to went Kenya searching for good life dwelling at kibira. Unfortunately I failed to fulfill my dream. Recently I came home Tanzania and make application throughTCU and HESLB on education courses. I scored C, D, D and F in H,G,L and GS...
Back
Top Bottom