eid alhaj inshaAllah itakuwa juma 4 coz siku ya juma 3 ni siku wanayosimama mahujaji kwanye mlima wa arafa so siku inayofata ndio siku ya eid hamna cha bakwata wa makwata...
ngosha muda wote ameka kimya coz walikuwa wanmtuliza na cash inaonekana ameuza dili baada ya kubaniwa maana tatizo kubwa ya watumishi wa serkali ni cash tu ! Ukitoa cash fanya unavotaka na wao ndio wanakusaidia na ukiwabania tu wanakugauka mfano wao kina ngosha lol
Hii ndio mwisho wa walarushwa maana hamna ofisi inayoongoza kwa rushwa na ujajasaji kwa raia kama ofisi ya TRA. Bora wasafishwe mafisadi hawa na hamna ofisa yoyote anayofanya kazi kwa uwaminifu yote ni mafisadi tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.