Recent content by Getrude Mollel

  1. Getrude Mollel

    Sababu za Kisaikolojia na Kimuundo Zinazofanya Maandamano Kama ya Kenya, Nepal au Madagascar Yasitokee kwa Tanzania.

    Utulivu wa kisiasa wa Tanzania, ukilinganishwa na nchi nyingine za Afrika na Asia ambazo zimepitia machafuko au mapinduzi ya umma, unatokana na misingi ya kihistoria na mshikamano wa kisaikolojia uliojengeka kwa muda mrefu. Ufuatayo ni uchambuzi wa sababu tano kuu za kisaikolojia na kimuundo...
  2. Getrude Mollel

    GE2025 Kuelekea Oktoba 29: CHADEMA pelekeni haraka maombi kwa Serikali ya Uingereza itume Jeshi lake kuwalinda Watanzania

    Sasa Jeshi la Uingereza lilipokuja Tanzania kipindi kile kuzima mapinduzi, si liliitwa kwa barua. Sasa hivi unadhani ni rahisi tu jeshi la nchi nyingine bila kuitwa au kuombwa na chama cha upinzani tu, linaweza kuja kulinda raia? Una tumia akili zako vizuri kweli?
  3. Getrude Mollel

    GE2025 Kwanini ndoto za Mange za Jeshi la Tanzania kuasi haziwezi kufanikiwa?

    Jeshi la Tanzania haliwezi kuasi kwa sababu limejengwa juu ya msingi wa historia, umoja na falsafa ya kitaifa iliyopandikizwa tangu enzi za ukombozi. Wakati mataifa mengi ya Afrika yalirithi majeshi ya kikoloni yaliyokuwa vyombo vya ukandamizaji, Tanzania ilijenga Jeshi la Ulinzi la Wananchi...
  4. Getrude Mollel

    Kati ya 2016-2020 Polepole alikuwa serikalini, haya yakitokea, yeye alikuwa wapi?

    Polepole anasema Tanzania haina uhuru wa habari, sheria hizi👇zilipitishwa yeye akiwa Mbunge na Katibu wa Itifaki na uenezi, na hakuwahi kusema kitu. 1. The Media Services Act (2016) 2. The Media Services Act (2016) 3. Statistics Act (2015) 4. Access to Information Act (2015) Vyombo vya habari...
  5. Getrude Mollel

    Mtazamo wa Jamii za kiafrika unavyoathiri uongozi wa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu

    Tanzania imeweka historia kwa kuwa na Rais wa kwanza mwanamke, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan. Lakini pamoja na mafanikio makubwa aliyoyapata katika kipindi kifupi cha uongozi wake, bado anakabiliana na changamoto kubwa moja: mtazamo wa kijamii wa Kiafrika kuhusu nafasi ya mwanamke katika...
  6. Getrude Mollel

    Kwanini Tanzania haiwezekani kutokea machafuko wala mapinduzi ya kijeshi

    Mapinduzi hayakutokea 1964, lilikuwa jaribio. Kasome tena historia.
  7. Getrude Mollel

    Kwanini Tanzania haiwezekani kutokea machafuko wala mapinduzi ya kijeshi

    Afrika imekuwa ikishuhudia misururu ya mapinduzi ya kijeshi tangu enzi za Vita Baridi hadi karne ya 21. Nchi nyingi zilikumbwa na hali hii kutokana na migawanyiko ya kisiasa, kikabila na kiuchumi. Ghana ilipitia mapinduzi yake ya kwanza mwaka 1966, Nigeria ikashuhudia mapinduzi mara kwa mara...
  8. Getrude Mollel

    Je, ni kweli gesi ya kupikia nchini Cuba inauzwa TZS 2,000? – Uchambuzi wa kitaalamu

    Ruzuku ndio hadi chini ya dola 1? wakati wastani wa mshahara wa mtu wa cuba ni USD 13? Wewe gesi iwe chini ya usd 1?
  9. Getrude Mollel

    Je, ni kweli gesi ya kupikia nchini Cuba inauzwa TZS 2,000? – Uchambuzi wa kitaalamu

    Kwamba inawezekana kg mtungi wa gesi ukauzwa chini ya USD 1? Yani hata kama huishi Cuba, kwa kutumia tu akili alizokupa Mungu, inawezekana hiyo?
  10. Getrude Mollel

    Je, ni kweli gesi ya kupikia nchini Cuba inauzwa TZS 2,000? – Uchambuzi wa kitaalamu

    So kujua bei ya gesi ya cuba hadi niishi cuba?
  11. Getrude Mollel

    Je, ni kweli gesi ya kupikia nchini Cuba inauzwa TZS 2,000? – Uchambuzi wa kitaalamu

    Hapana, Cuba ina face huge challenge ya inflation na shortage ya forex hivyo kwa ruzuku hapana.
  12. Getrude Mollel

    Je, ni kweli gesi ya kupikia nchini Cuba inauzwa TZS 2,000? – Uchambuzi wa kitaalamu

    Shida ni kwamba umekaza kichwa, hutaki ukweli, fungua mitandao usome, kama kuna nchi hata moja gesi kg 15 inauzwa chini ya usd 1
Back
Top Bottom