Ushaona lecturer na police yupi anaheshimika .....Police anawez kua anajipatia pesa daily lakin sio lecturer We are after money na sio Fame au watu wakuone nani?
Ndugu ushaona lecturer mwenye pesa....Ukiwa katika Majeshi ya ulinzi unawez endesha Vitu vyako smooth na kuheshimika huliko ata huyo Lecturer...Unakua na access ya vitu vingi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.