Recent content by Get rich or die try

  1. G

    Benefiti za alie na masters katika jeshi la kujenga taifa

    Ushaona lecturer na police yupi anaheshimika .....Police anawez kua anajipatia pesa daily lakin sio lecturer We are after money na sio Fame au watu wakuone nani?
  2. G

    Benefiti za alie na masters katika jeshi la kujenga taifa

    Ndugu ushaona lecturer mwenye pesa....Ukiwa katika Majeshi ya ulinzi unawez endesha Vitu vyako smooth na kuheshimika huliko ata huyo Lecturer...Unakua na access ya vitu vingi
  3. G

    Benefiti za alie na masters katika jeshi la kujenga taifa

    Hahaha kazi jau ndugu..Uon watu wanapambana uko wakina Mwabukusi
  4. G

    Benefiti za alie na masters katika jeshi la kujenga taifa

    Sawa ndugu..ila wabongo ku share info ni wagumu sana ndiomaana kuuliza kwa watu wengi ni vyema
  5. G

    Benefiti za alie na masters katika jeshi la kujenga taifa

    Oooh hiyo sawa but kama kuanzia 1.5m sio mbaya au ni less
  6. G

    Naombeni msaada kuhusu kupata uraia wa Tanzania

    Hakujawai tosha huko ndugu..maana kila mwaka watu wana staff
Back
Top Bottom