Anayesema anahama CHADEMA safari njema. Inawezekana siyo wala mwanaCHADEMA isipokuwa ni propagandist wa mafisadi. CCM na magazeti yao wanawapotosha wananchi wakikwepa kueleza msingi wa topic. TOPIC hatukubaliani na mfumo uliomweka kikwete madarakani. Katiba mbovu isiyoruhusu kupinga matokeo. Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.