Recent content by Gerodchoga

  1. G

    Naombeni msaada jinsi ya kuifungua sim aina ya samsung GT-E 1205Y

    Simu yang nikiiwekea lain inasema sim locked alafu nikitoa inakua safi je nini tatizo maana inaonesha ivo kwa kila laini wakati hakuna lain ambayo nimeifungia
  2. G

    Computer yangu aina ya dell inawaka lakini haimalizii kuwaka inaishia kuandika dell alafu inabaki na mwanga

    Jamani wadau kuna simu ndogo aina ya samsang GT-E 1205Y nikiweka laini inasema sim locked alafu nikitoa lain inakua sawa,na laini sijaweka lock yoyote tatizo ni nini? Maana laini sijaziwekea lock yoyote
  3. G

    Tatizo lolote la PC/device

    Safe mode naingiaje mkuu,,, nielekeze kidogo Sent using Jamii Forums mobile app
  4. G

    Computer yangu aina ya dell inawaka lakini haimalizii kuwaka inaishia kuandika dell alafu inabaki na mwanga

    Ok thank kaisari,, am understand well Sent using Jamii Forums mobile app
  5. G

    Computer yangu aina ya dell inawaka lakini haimalizii kuwaka inaishia kuandika dell alafu inabaki na mwanga

    Window 8.1,,,,,,system recovery means nibadilishe window au vp? Sent using Jamii Forums mobile app
  6. G

    Computer yangu aina ya dell inawaka lakini haimalizii kuwaka inaishia kuandika dell alafu inabaki na mwanga

    Inavowako inaandika dell afu pembeni inaandikaF2 setup na F12 boot hapo tu hakuna kingine kinachokubari Sent using Jamii Forums mobile app
  7. G

    Computer yangu aina ya dell inawaka lakini haimalizii kuwaka inaishia kuandika dell alafu inabaki na mwanga

    Nipo iringa,,, na sijui kuboot kwa safe mode, ni dell ipo kama hp mayai inspiration 15-3521 Sent using Jamii Forums mobile app
  8. G

    Tatizo lolote la PC/device

    Habari jamani,, laptop yangu ni dell, niliiwasha ikawa inafanya updating baada ya muda ikafail kuupdate nikaamua kuuzima tena ili niiwashe upya baada ya hapo ikawa inawaka lakin haimalizii kuwaka inaishia kuandika dell alafu inabaki na mwanga na kudisplay screen nyeusi, na inacheza alama flan...
  9. G

    Computer yangu aina ya dell inawaka lakini haimalizii kuwaka inaishia kuandika dell alafu inabaki na mwanga

    Ikifika hapo inaonesha alama flan nyeupe upande wa juu kushoto inacheza km alama za second kwenye saa Sent using Jamii Forums mobile app
  10. G

    Computer yangu aina ya dell inawaka lakini haimalizii kuwaka inaishia kuandika dell alafu inabaki na mwanga

    Habari jamani,, laptop yangu ni dell, niliiwasha ikawa inafanya updating baada ya muda ikafail kuupdate nikaamua kuuzima tena ili niiwashe upya baada ya hapo ikawa inawaka lakin haimalizii kuwaka inaishia kuandika dell alafu inabaki na mwanga na kudisplay screen nyeusi, na inacheza alama flan...
Back
Top Bottom